Kwanini Demokrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Demokrasia inakubalika kwa miktadha ifuatayo:

chaguzi huru, uhuru wa maisha ya mtu binafsi baasi hiyo imetosha.

mkishamaliza kuchaguana na haki ikatolewa.
washindwa wawe waungwana na kuacha w
ashindi watawale maana hao ndiyo wameshinda zabuni ya kuongoza nchi.

kuendelea na siasa za majukwaani ni kuwaletea vurugu.
na hiyo siyo demokrasia, bali ni fujo.

Kuhusu utashi wa watu kuhusu namna ipi nchi iendeshwe wapo wawakilishi wao kwny vikao vya maamuzi.
representative democracy hapo imetumika.
Chadema wanajua hii dhana ya demokrasia uliyoitaja hapa mkuu
 
Ingekuwa ishagawanyika vipande vipande vya nchi nyingi..
Kwa hiyo unakubaliana kwamba Demokrasia ni moja ya kuleta matabaka na migawanyiko kwenye jamii siyo?

Au kwamba Demokrasia ni sawa na mtu akichezea mkia wa simba huku akijua simba anatafuna watu, au inabidi simba awe kibogoyo tu ili achezewe kwa namna zote, kipi kizuri hapo?
 
Mijitu inayofaidi kweli ya taifa kupitia u dikteta hizi ndiyo hoja zao sasa.

Hivi mnadhani tunafurahia mno mnavyo jineemesha wenyewe?

Hiiiiii bagosha!
Kwani Demokrasia ni nini mkuu, kuandamana na kutukana viongozi siyo?

Maana ulichotaja hapo hayapo ndani ya deomkrasia, ni wizi kama wizi mwingine, maana hayo yanapaswa yawe under dicteta ili awalipue hao majambazi bila kusubiri hata mahakama
 
Kwani Demokrasia ni nini mkuu, kuandamana na kutukana viongozi siyo?

Maana ulichotaja hapo hayapo ndani ya deomkrasia, ni wizi kama wizi mwingine, maana hayo yanapaswa yawe under dicteta ili awalipue hao majambazi bila kusubiri hata mahakama

Unamsoma je huyo?

IMG_20210707_084839_278.jpg


Hayo unayoyaita kuandamana na kutukanwa ndiyo kukataliwa na kukemewa kwenu.

Huoni unachokitetea wewe ni wizi uliokomaa kuliko ujambazi sugu wa kutumia silaha?

Kesi ya Sabaya inawataja hadi Rais na Makamu wa rais kwenye ujambazi huo.
 
Ukisema China haina Demokrasia, jibu kwanza hili swali. Demokrasia ni nini?
Akijibu nitag mkuu...Watu wanadhani Demokrasia ni ile ya Marekani au Uingereza tu...China wanatumia Socialist Democracy
 
Kuna tofauti gani kati ya Democrasia ya Tanzania na nchi zingine duniani?

Ni kweli Demokrasia bora ni ile inayoruhusu mandamano na mikutano ya hadhara katikati ya uongozi?

Au demokrasia nzuri na inayovutia ni ile inayowafanya watu wamseme vibaya kiongozi wa nchi?

Je siku moja ikigeukia upande wa pili, bado itakuwa demokrasia?
 
Kuna tofauti gani kati ya Democrasia ya Tanzania na nchi zingine duniani?

Ni kweli Demokrasia bora ni ile inayoruhusu mandamano na mikutano ya hadhara katikati ya uongozi?

Au demokrasia nzuri na inayovutia ni ile inayowafanya watu wamseme vibaya kiongozi wa nchi?

Je siku moja ikigeukia upande wa pili, bado itakuwa demokrasia?
Yote uliyoropoka si kweli na ni ujinga wako! Demokrasia ni ushirikishwaji wa wananchi katika maendeleo ya nchi yao! Kiongozi ukishindwa kuwashirikisha wananchi wenzako katika ujenzi wa nchi yao lazima upingwe vikali iwe kwa maneno au maandamano na hata kuuawa!
 
H
Ukisema China haina Demokrasia, jibu kwanza hili swali. Demokrasia ni nini?
Serikali ya watu, itokanayo na watu(iliyochaguliwa na watu wengi) kwa ajili ya watu( inayotokeleza matakaa ya watu wengi)

Serikali ya China sio ya kidemokrasia kwa sababu haitokani na uchaguzi au ridhaa ya watu wengi wa nchi hiyo.
 
Mabwana walee demekrasi ni kuandamana Kila siku na kupora vyitu.
Watu wa hivyi kamwe wasipewa Uhuru wanaoutaka.
 
Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?
Kwa mifano hii sio kwamba una maanisha msingi wa maendeleo ni kufanya kazi kwa bidii sio aina ya utawala nchi ilioamua kuutumia!
 
Kwa mifano hii sio kwamba una maanisha msingi wa maendeleo ni kufanya kazi kwa bidii sio aina ya utawala nchi ilioamua kuutumia!
Demokrasia ni matakataka gani sasa?, maana naona kila mmoja anapuyanga kivyake tu kuielezea demokrasia, na je? inasaidia nini ikiwa demokrasia inajumuisha utukanaji kwa viongozi na migomo ya kijinga?
 
Demokrasia kwa nchi yetu hizi za kila mmoja akiaminiwa anataka awe mwizi ni kupoteza muda na hatutafika!
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Demokrasia ni sawa na kuwa kuku wa broila
 
Demokrasia ni matakataka gani sasa?, maana naona kila mmoja anapuyanga kivyake tu kuielezea demokrasia, na je? inasaidia nini ikiwa demokrasia inajumuisha utukanaji kwa viongozi na migomo ya kijinga?
Demokrasia ni kuruhusu watoto kwenye familia kila mmoja kuchagua mboga ya kula usiku na wakati huo huo mpishi na mnunuzi ni mmoja.. Nani ataweza?
 
Bila shaka majibu yatapatikana hapa,

Unadhani ni kwa nini Wengi huamini maendeleo makubwa hutokana na Ustawi mkubwa Democrasia

Kama ni ukweli, Ni kwa nini sasa Democrasia ilishindwa kuleta maendeleo China?

Mwingine atauliza, ni lini China imewahi kuwa na Demokrasia na hata ikaamua kuivunja, nami nitauliza, ni kwanini tunaojaribu kutembea kwenye Demokrasia ndio tunaendelea kuwa masikini wa kutupwa?

Natamani sana nchi zetu za Afrika na hasa Tanzania, tufunge ndoa na china katika kuendesha nchi yetu.

Ninauhakika, itakuwa ni miaka michache sana kufikia uchumi mkubwa na tutaondokana na umasikini.

Demokrasia ndiyo inayowafanya watu washinde kutwa nzima wamejifungia kwenye kumbi mbalimbali kuwasikiliza wanasiasa kwa mambo ya kipuuzi huku hawaingizi chochote na hawafanyi kazi.

Demkrasia, ndiyo hiyo inayowafanya watu waache shughuli zao wakandamane kwa faida ya wanasiasa siyo?

Ole, siku moja niwe Rais wa nchi hii, mabeberu wataninyonga mapema asubuhi nakwambia.

Ni mara tano ya JPM kwa mwendo wake

Mungu bariki Viongozi wote Jasiri
Demokrasia ni ujanja ujanja wa USA Kuzifanya nchi zingine zisiweze kupiga hatua ya maendeleo

Kwa wizi uliofanywa hapa Tanzania, ilipaswa hao watu wanyongwe!
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom