Habari wadau?
Hivi Kwani Mwanafunzi anakaa miaka Mingi anasoma tuu mwisho anamaliza hana ujuzi?
Kama zamani iliwezekana Kupunguza Madarasa kwanini Sasa hivi ishindikane?
Elimu yetu Primary 7years,Secondary 6years,Chuo 3/4 yrars Total 18 year Mtu anasoma Tuu Mwisho anakosa Ajira anakuwa Tegemezi na Muda Huo bado ni tegemezi tuu!
Mbona zamani Mpaka Mwaka 1966 Ndio Tanzania Wkafuta Darasa la 8!
Waliona Nini?
Kwanini Leo ishindikane kupunguza madarasa tukaboresha Technical skills?
Hivi Kwani Mwanafunzi anakaa miaka Mingi anasoma tuu mwisho anamaliza hana ujuzi?
Kama zamani iliwezekana Kupunguza Madarasa kwanini Sasa hivi ishindikane?
Elimu yetu Primary 7years,Secondary 6years,Chuo 3/4 yrars Total 18 year Mtu anasoma Tuu Mwisho anakosa Ajira anakuwa Tegemezi na Muda Huo bado ni tegemezi tuu!
Mbona zamani Mpaka Mwaka 1966 Ndio Tanzania Wkafuta Darasa la 8!
Waliona Nini?
Kwanini Leo ishindikane kupunguza madarasa tukaboresha Technical skills?