Kwanini CUF na CCM Waiandame CHADEMA?

Gracious

JF-Expert Member
Jul 12, 2011
1,890
1,082
Wanajamvi naomba tujadili yafuatayo;

1.Kwa nini chama cha CUF ambacho ni cha upinzani huku Tanganyika kimekua kikiiandama Chadema?. Sijawahi kusikia Chadema wakikiandama CUF,Je ni ukomavu wa kisiasa wa Chadema kujua kuwa wanapambana na aliye madarakani tu? au ni kwamba mti utoao matunda ndio unaorushiwa mawe? au ni uchu wa Hamad Rashid wa madaraka ya Kambi ya Upinzani bungeni?

2.Kwa nini CCM na BAKWATA wamekua wakiyataka mashirika ya kijamii kulaani issue ya DC Kimario kule Igunga,hadi leo hii hakuna hata shirika moja lililolaani? Je mashirika hayo yanashabikia Chadema? au wamejaribu kuwa analytical zaidi kujua kuwa ile ni political ground? Kumbuka kuna kina Ananilea Nnkya na wenzake ambao hua wako active na haki za kina mama,je hawajaliona hilo au wameelewa kuwa ni mbinu za CCM kujitafutia mtaji wa kisiasa?

3.Kwa mwendo huu,Tanzania tutaepuka mtego wa kuingia kwenye uhasama wa kidini (Kumbukeni ishu ya DC)? Je hii sio style ya CCM ya divide and rule?

Ni hayo tu
 
Kawaida mke na mume wanaweza kushambuliana wakiwa ndani ya nyumba yao - lakini wakitoka nje lao linakuwa moja, wanafuta tofauti zao na wanaelekeza mashambulia yao kwako. kuwa makini sana mnapo deal na wanandoa.
 
nina wasiwasi na cuf mana walianza kampeni na punda na wanamalizia na helcopta. nadhani kwa hali yao ya uchumi waliyoionyesha wakizindua kampeni ni ishara kuwa hilo chopa wamefadhiliwa na chama cha rostam azizi
 
Umezungumza mengi lakini pointi moja ni kwamba, CCM na CUF wamefungandoa hivyo wamekuwa mwili / kitu kimoja lazima waishambulie CDM. Kwa kuthibitisha hili njoo Igunga. CCM wamelipa MAHARI baada ya kuwanunulia CUF Helkopter, hivyo lazima Hamad Rashid amsifie Mume wake CCM. Lakini makamanda wa CDM hatutishwi na hiyo ndoa yao, CDM mwendo mdundo hadi kieleweke.
 
Kiashiria au sifa kuu ya mtu ambae ni mvivu wa kufikiri ni
1. kutumia njia rahisi kuliko zote kupambana na matatizo yanayomkabili
2. uchochezi na umbeya ila kuharibu hali ya amani iliyopo
3. kufikiri watu wote wana akili zilizolala na finyu kama zao

Sasa basi hao sijui wanaoitwa KAFU na Magamba wanaona kutumia udini ndio njia rahisi ya kuwaogopesha na kuwagawa watanzania! ila wanashindwa kufikiri kwamba watanzania hatutagawanyishwa kwa udini kwame coz nyumba moja tumepanga waislam na wakristu, wanakula pork tunanyamaza na kuvumiliana coz it is their business not ours. Kitakachokuja kutugawa watanzania ni mali wala sio dini. WENYE NACHO NA WASIO NACHO.

WANACHOSINDWA KUELEWA NI KWAMBA
1. HAKUNA MAKANISA AU MISIKITI YA MATAJIRI NA MASIKINI ILA KUNA MAENEO YA MATAJIRI NA MASIKINI
2. UWIANO WA WALICHONACHO NA WASIONACHO UNAKUWA KWA KASI, HII ITASABABISHA WASIOKUA NACHO KUSUKUWA KWENYE MAENEO MUHIMU NA KUTUBWA KUSIKOKUA NA MIUNDOMBINU YA KUISHI BINADAMU. HAPO NDIPO WATAJUA KWAMBA DINI HAIGAWI WATZ ILA UKOSEFU WA MALI NDIO ADUI MKUBWA NA BOMU WANALOLITENGENEZA HAPA TZ

ANGALIA MISRI WAISLAM NA WAKRISTU WALIUNGANA KUMNG'OA DICTATOR HUSSEIN, WALA HAWAKUSUKUMWA NA DINI ZAO
 
Hili ni jibu sahihi la maoni mengine yote yatakayotolewa kuhusu thread hii..........


kawaida mke na mume wanaweza kushambuliana wakiwa ndani ya nyumba yao - lakini wakitoka nje lao linakuwa moja, wanafuta tofauti zao na wanaelekeza mashambulia yao kwako. Kuwa makini sana mnapo deal na wanandoa.
 
nina wasiwasi na cuf mana walianza kampeni na punda na wanamalizia na helcopta. nadhani kwa hali yao ya uchumi waliyoionyesha wakizindua kampeni ni ishara kuwa hilo chopa wamefadhiliwa na chama cha rostam azizi

pia nalo linaweza kuwa ni sababu..
 
Wanajamvi naomba tujadili yafuatayo;

1.Kwa nini chama cha CUF ambacho ni cha upinzani huku Tanganyika kimekua kikiiandama Chadema?. Sijawahi kusikia Chadema wakikiandama CUF,Je ni ukomavu wa kisiasa wa Chadema kujua kuwa wanapambana na aliye madarakani tu? au ni kwamba mti utoao matunda ndio unaorushiwa mawe? au ni uchu wa Hamad Rashid wa madaraka ya Kambi ya Upinzani bungeni?

2.Kwa nini CCM na BAKWATA wamekua wakiyataka mashirika ya kijamii kulaani issue ya DC Kimario kule Igunga,hadi leo hii hakuna hata shirika moja lililolaani? Je mashirika hayo yanashabikia Chadema? au wamejaribu kuwa analytical zaidi kujua kuwa ile ni political ground? Kumbuka kuna kina Ananilea Nnkya na wenzake ambao hua wako active na haki za kina mama,je hawajaliona hilo au wameelewa kuwa ni mbinu za CCM kujitafutia mtaji wa kisiasa?

3.Kwa mwendo huu,Tanzania tutaepuka mtego wa kuingia kwenye uhasama wa kidini (Kumbukeni ishu ya DC)? Je hii sio style ya CCM ya divide and rule?

Ni hayo tu

jibu lako ni hili

Katuni+Sep+25.jpg
 
Kiashiria au sifa kuu ya mtu ambae ni mvivu wa kufikiri ni
1. kutumia njia rahisi kuliko zote kupambana na matatizo yanayomkabili
2. uchochezi na umbeya ila kuharibu hali ya amani iliyopo
3. kufikiri watu wote wana akili zilizolala na finyu kama zao

Sasa basi hao sijui wanaoitwa KAFU na Magamba wanaona kutumia udini ndio njia rahisi ya kuwaogopesha na kuwagawa watanzania! ila wanashindwa kufikiri kwamba watanzania hatutagawanyishwa kwa udini kwame coz nyumba moja tumepanga waislam na wakristu, wanakula pork tunanyamaza na kuvumiliana coz it is their business not ours. Kitakachokuja kutugawa watanzania ni mali wala sio dini. WENYE NACHO NA WASIO NACHO.

WANACHOSINDWA KUELEWA NI KWAMBA
1. HAKUNA MAKANISA AU MISIKITI YA MATAJIRI NA MASIKINI ILA KUNA MAENEO YA MATAJIRI NA MASIKINI
2. UWIANO WA WALICHONACHO NA WASIONACHO UNAKUWA KWA KASI, HII ITASABABISHA WASIOKUA NACHO KUSUKUWA KWENYE MAENEO MUHIMU NA KUTUBWA KUSIKOKUA NA MIUNDOMBINU YA KUISHI BINADAMU. HAPO NDIPO WATAJUA KWAMBA DINI HAIGAWI WATZ ILA UKOSEFU WA MALI NDIO ADUI MKUBWA NA BOMU WANALOLITENGENEZA HAPA TZ

ANGALIA MISRI WAISLAM NA WAKRISTU WALIUNGANA KUMNG'OA DICTATOR HUSSEIN, WALA HAWAKUSUKUMWA NA DINI ZAO

Thats a great point
 
chadema tambueni siasa ina machungu na raha, machungu yenu yapo igunga tarehe 2/10/2011 Mahona awagaragaze.

Kwa yeyote atakaeshinda,lazima atambue kwamba CDM ni kiboko,imewapelekesha mchakamchaka
 
nina wasiwasi na cuf mana walianza kampeni na punda na wanamalizia na helcopta. nadhani kwa hali yao ya uchumi waliyoionyesha wakizindua kampeni ni ishara kuwa hilo chopa wamefadhiliwa na chama cha rostam azizi

CUF hawana lolote,ni kama CCM tu.Wote wanaiga nini CDM wanafanya
 
Kiashiria au sifa kuu ya mtu ambae ni mvivu wa kufikiri ni
1. kutumia njia rahisi kuliko zote kupambana na matatizo yanayomkabili
2. uchochezi na umbeya ila kuharibu hali ya amani iliyopo
3. kufikiri watu wote wana akili zilizolala na finyu kama zao

Sasa basi hao sijui wanaoitwa KAFU na Magamba wanaona kutumia udini ndio njia rahisi ya kuwaogopesha na kuwagawa watanzania! ila wanashindwa kufikiri kwamba watanzania hatutagawanyishwa kwa udini kwame coz nyumba moja tumepanga waislam na wakristu, wanakula pork tunanyamaza na kuvumiliana coz it is their business not ours. Kitakachokuja kutugawa watanzania ni mali wala sio dini. WENYE NACHO NA WASIO NACHO.

WANACHOSINDWA KUELEWA NI KWAMBA
1. HAKUNA MAKANISA AU MISIKITI YA MATAJIRI NA MASIKINI ILA KUNA MAENEO YA MATAJIRI NA MASIKINI
2. UWIANO WA WALICHONACHO NA WASIONACHO UNAKUWA KWA KASI, HII ITASABABISHA WASIOKUA NACHO KUSUKUWA KWENYE MAENEO MUHIMU NA KUTUBWA KUSIKOKUA NA MIUNDOMBINU YA KUISHI BINADAMU. HAPO NDIPO WATAJUA KWAMBA DINI HAIGAWI WATZ ILA UKOSEFU WA MALI NDIO ADUI MKUBWA NA BOMU WANALOLITENGENEZA HAPA TZ

ANGALIA MISRI WAISLAM NA WAKRISTU WALIUNGANA KUMNG'OA DICTATOR HUSSEIN, WALA HAWAKUSUKUMWA NA DINI ZAO

I trust you! Umemaliza yote
 
Wanajamvi naomba tujadili yafuatayo;

1.Kwa nini chama cha CUF ambacho ni cha upinzani huku Tanganyika kimekua kikiiandama Chadema?. Sijawahi kusikia Chadema wakikiandama CUF,Je ni ukomavu wa kisiasa wa Chadema kujua kuwa wanapambana na aliye madarakani tu? au ni kwamba mti utoao matunda ndio unaorushiwa mawe? au ni uchu wa Hamad Rashid wa madaraka ya Kambi ya Upinzani bungeni?

2.Kwa nini CCM na BAKWATA wamekua wakiyataka mashirika ya kijamii kulaani issue ya DC Kimario kule Igunga,hadi leo hii hakuna hata shirika moja lililolaani? Je mashirika hayo yanashabikia Chadema? au wamejaribu kuwa analytical zaidi kujua kuwa ile ni political ground? Kumbuka kuna kina Ananilea Nnkya na wenzake ambao hua wako active na haki za kina mama,je hawajaliona hilo au wameelewa kuwa ni mbinu za CCM kujitafutia mtaji wa kisiasa?

3.Kwa mwendo huu,Tanzania tutaepuka mtego wa kuingia kwenye uhasama wa kidini (Kumbukeni ishu ya DC)? Je hii sio style ya CCM ya divide and rule?

Ni hayo tu

Don't you know that CCM+CUF+BAKWATA+MAFISADI..........they are all MAGAMBAs?
 
Hlw , am a new comer in dis community, so guyz am ver greatiful 4 being hear wit u frm 2day!! Thank u all....
 
Mkuu issue hiyo mbona iko wazi kabisa, CUF wanatumiwa ili kuvuruga mipango ya CDM. Haya ni mambo ya politiki!
Mkuu umesahau 'ndoa' ya CCM na CUF kule Zanzibar??
Siku hizi unamsikia Maalim Sharrif Hamad akifurukuta baada ya kupata uongozi? This is 'devide and rule'.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom