Hivi kwanini couple za wezetu wazungu zapendeza kuliko zetu. Wenzetu wakikaa mtu na boyfriend wake au mmewake wavutia wakipiga picha wapendeza. Sasa kwanini za kwetu hazipendezi?
Mmejiuliza sipati jibu kwanini? Au kwa vile wanaume wa Tanzania wafupi au kwasababu wanawake wa Tanzania mabonge au kwanini?
Mmejiuliza sipati jibu kwanini? Au kwa vile wanaume wa Tanzania wafupi au kwasababu wanawake wa Tanzania mabonge au kwanini?