Habar zenyu wanaJF hv kwanini yapata asilimia 85 simu za mkonon zimekuwa chanzo kikubwa katka kuvunjika kwa ndoa na mahusiano now days ni kwamba hakuna uaminifu au yan ni nini haswa
Tuliwashauri msipende kupekua pekua cm za wenzenu!... mnajifanya mapenzi, eti hamfichani kitu shauri yenu....
2lishaizungumizia hii kwa heshma na taadhima naomba kushitisha hoja hii.
kushitisha au kusitisha?
kushitisha au kusitisha?