Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,575
- 3,894
Habarini wanabodi!.
Poleni na majuku ya hapa na pale, swali hapo juu lajieleza vyakutosha. Ni kawaida mtu kupewa cheti baada ya kuhitimu course(fani) flani, kwa upande wa cheti cha ndoa mbona ni tofauti maana mnapewa cheti mwanzo kabisa wa ndoa kwanini msisubiriwe mpaka muhitimu?
Je hatuoni kama tunapewa vyeti bila elimu ndio maana tuwapo kwenye ndoa tunashindwa kuendesha ndoa maana cheti ni fake? Unapewaje cheti bila kuhitimu? Tujadili kidogo hapa
Over
Poleni na majuku ya hapa na pale, swali hapo juu lajieleza vyakutosha. Ni kawaida mtu kupewa cheti baada ya kuhitimu course(fani) flani, kwa upande wa cheti cha ndoa mbona ni tofauti maana mnapewa cheti mwanzo kabisa wa ndoa kwanini msisubiriwe mpaka muhitimu?
Je hatuoni kama tunapewa vyeti bila elimu ndio maana tuwapo kwenye ndoa tunashindwa kuendesha ndoa maana cheti ni fake? Unapewaje cheti bila kuhitimu? Tujadili kidogo hapa
Over