Kwanini chama cha CHADEMA hakifanyi tathmini ya hali ya uchumi kama alivyokuwa akifanya Prof Lipumba? Au hakina wataalamu!

Huo ni udhaifu mkubwa sana kwa CHADEMA, wao wako busy na tume huru ya uchaguzi kwa sababu wanawaza vyeo na madaraka badala ya kuchambua hali ya uchumi wa wananchi.

Angalau ACT Wazalendo wanajitahidi sana kwenye kwenye kufanya chambuzi mbalimbali za masuala ya uchumi nchini
hao act unaowasifia ndio hao hao wabunge wako na wenyeviti wa uvccm wanasema kuwa wanastahili kuuawa
 
Huu uchumi uliishakufa kitambo na hauhitaji cha mtaalam wala mchambuzi kukuambia hilo kwani hata mtoto wa chekechea anafahamu hivyo na kwa kufahamu hilo ndio maana sheria ya takwimu ikaundwa.
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Sheria ya takwimu inasemaje imeruhusiwa kwani
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Ulitaka wachambue vipi ili uelewe? Kama biashara mitaani zimekufa, wauza mihogo uswahilini wamejazana na mihogo haishi, mabaa yamefungwa na serikali haiajiri. Unataka waseme nini? Mambo yanaonekana kwa macho?
Au ulitaka waseme kuna ujenzi wa Sgr,JNHHP, ubungo interchange n.k ili ufurahi!
 
k
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Mtanisamehe wenye chama lakini ninavyoelewa mimi CDM kimekuwa ni chama cha matukio na mihemko ya kisiasa
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Wewe ni mgeni nchi hii? Unaelewa kuna sheria ya takwimu au ndio umefika jana kutoka China? Huruhusiwi kutoa takwimu bila kibali cha serikali na kuthibishwa. Nani atakupa hivyo?!
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Maccm mna taabu kweli sasa cdm inakuhusu nini?
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Unataka wakamatwe kwa kosa la takwimu, hawana shida na wengine kwani Chadema ndiye mbaya wao.
 
Hali ya uchumi ni nzuri sana ndiyo maana siyo kipaumbele chao inawezekana hata wakiuchambua hakuna atakaye ufanyia kazi
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!

VIPI LIPUMBA KAFANYA AU NDIO KAMA ALIVYOKUWA ANAFANYA?
BY the way umesahahu kuna sheria ya TAKWIMU ?
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
Kila siku wanawaambia uchumi wenu uko halijojo mnawaambia wametumwa na mabeberu, unataka wafanye tathmini gani ya nyumbani kwako.
 
Wakati Cuf kilipokuwa ni chama kikuu cha upinzani na KUB akiwa Hamad Rashid kilikuwa kinafanya tathmini ya hali ya uchumi kila baada ya muda fulani.

Na uchambuzi yakinifu ulikuwa unafanywa na mbobezi wa maswala ya uchumi duniani ambaye pia ndiye chairman wa CUF.

Tangu Chadema wawe chama kikuu cha upinzani mwaka 2010 sijawahi kuwasikia popote wakifanya tathmini ya hali ya uchumi nchini.

Sijaelewa ni kwanini lakini nilipojaribu kuiangalia CC ya Chadema sijamuona mchumi mbobezi hata mmoja.

Anyway, mada yangu inauliza swali tu.

Maendeleo hayana chama!
John, sijui unaishi wapi, ninavyojua mimi serikali yenu ilitoa maagizo kwamba haruhusiwi mtu kuongelea Takwimu au Namba za mambo ya Nchi kama sio muhusika, yaani eti Takwimu zote lazima zitolewe na Idara ya serikali ya takwimu, sisi Chadema tuko busy na mambo yetu ya ndani ya chama tunajiandaa kupambana na nyie
 
Back
Top Bottom