johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
Nakumbuka chaguzi ndogo kuanzia Dr Lamwai enzi zile za Manzese hadi Dr Augustino Lyatonga Mrema nyakati za akina Cisco kule Temeke.
Lakini siku hizi chaguzi ndogo zimedorora sana, mfano jana.
Kwanini!....... Why?..........Ndauli?!!
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Lakini siku hizi chaguzi ndogo zimedorora sana, mfano jana.
Kwanini!....... Why?..........Ndauli?!!
Nawatakia Dominica yenye baraka!