TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Tangia rasimu ya katiba mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maoni ya wananchi ni serikali tatu kwa mujibu wa rasimu ya katiba.Chadema haina msimamo zaidi ya ule kutoka kanisani.Msimamo wa kanisa ni aidha serikali moja au muungano uvunjike.Na msimamo huo umeangaliwa kwa maslahi ya kueneza dini
Chadema kimekua chama kinachowakilisha mawazo ya wananchi wengi wa Tanzania. Kwa hiyo hayo ni mawazo ya wananchi walio wengi.Tangia rasimu ya katiba mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
Ni kwa sababu wananchi hawataki Muungano! CHADEMA is just sauti ya watu.
maoni ya wananchi ni serikali tatu kwa mujibu wa rasimu ya katiba.Chadema haina msimamo zaidi ya ule kutoka kanisani.Msimamo wa kanisa ni aidha serikali moja au muungano uvunjike.Na msimamo huo umeangaliwa kwa maslahi ya kueneza dini
Ongeza na swali hili:...imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
Tangia rasimu ya katiba
mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na
serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
ni kipi hasa tunafaidi kutokana na nuungano zaidi ya mzigo wa kuwabeba wazenj wasiobebeka?
Dos Santosmaoni ya wananchi ni serikali tatu kwa mujibu wa rasimu ya katiba.Chadema haina msimamo zaidi ya ule kutoka kanisani.Msimamo wa kanisa ni aidha serikali moja au muungano uvunjike.Na msimamo huo umeangaliwa kwa maslahi ya kueneza dini
Tangia rasimu ya katiba mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
kwa sababu ni muungano wa kitapeli na hatuoni manufaa yake kwetu.Tangia rasimu ya katiba mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?
Ni fikra mfu kudhani kuwa na Serikali tatu ni kuua muungano, mbona watu waliposema twende Serikali moja CCM kwa kutaka kupeana vyeo wakasema hapana wakati ndiyo hasa ungekuwa muungano badala ya kiini machi kilichopo. Rais wa Zanzibar anachaguliwa DOdoma kioja cha karne hiki. Tulipigania uhuru ili tuitawale Zanzibar?Tangia rasimu ya katiba mpya itoke, imeonekana chadema wanashabikia muungano uvunjike na kuwe na serikali tatu.Kwanini chadema wanashabikia jambo hili?