jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #61
Ombeni mtapewa tafuteni mtapata bisheni mtafunguliwa .....Kuna mbunge wa ccm au chama cha ccm aliyeibua ya makanika na iptl kipindi hiki...wapinzani waliongea wakachoka tukawabeza jpm ndio kairudisha lakini since anashughulikia ufisadi atupie jicho RICHMOND na MV DSM
Ongeleeni Richmond....kama mlivyoiibua pale mwembe yanga.