- Thread starter
- #41
Kwani alipomuita oil chafu walikuwa wanamaanisha nini. Hapa tunataka kujua kwanini cdm ilimsafisha lowassaLowasa
Lowasa alipoenda Chadema,kina Nape walimuita oil chafu,Sasa nikuulize swali Magufuli alipompokea Lowasa kutoka chadema amepokea oil chafu?
Sent using Jamii Forums mobile app