Isalia213
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,197
- 431
Nafatilia sana habari iwe tv, mablogs, magazeti, radio na hata kwenye mitandao ya kijamii huwa najiuliza mbona wapenzi wa chadema utakapozungumza maovu ya chama au viongozi wao huwa wakali na hawautaki ukweli hivi wanafikiria chama chao ni malaika hakina kasoro