Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,902
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli...
Halafu CHADEMA wanajimaliza kisiasa kwa kanda ya ziwa tuonane 2025 CCM itapeta tena hawajui kucheza na siasa.
 
Ni vema na wewe unae kanusha utuambie nafasi za kuteuliwa wasukuma wapo wangapi ili wasisingiziwe,kwa hiyo wewe huna tofauti na anaye walalamikia nyie sukuma gang
Umefika shule za juu kidogo?

Kwenye mijadala wenzetu husema he who alleges must prove, anaetoa tuhuma ndie anatakiwa kuthibitisha.

Chadema wametoa tuhuma kua Magufuli alikua mkabila/mwenye kupendelea ndugu zake. Sasa watuthibitishie kwa ushahidi usiopingika kama vile nilivyoshauri kwenye mada.
 
Halafu CDM wanajimaliza kisiasa kwa kanda ya ziwa tuonane 2025 CCM itapeta tena hawajui kucheza na siasa.
Na hilo ndilo tatizo kubwa la wasukuma UKABILA ndio maana namshukuru sana mungu kwa kutuondolea mkabila mkuu

Anaye ongelewa hapa ni magufuli dhidi ya tabia zake chafu alizo anza kupandikiza tanzania na bahati nzuri mungu kamuwahi sasa hayo ya kanda ya ziwa sijuu kukubalika yametokea wapi? Kwani hapa inasemwa kanda ya ziwa au magufuli?
 
Na hilo ndilo tatizo kubwa la wasukuma UKABILA ndio maana namshukuru sana mungu kwa kutuondolea mkabila mkuu

Anaye ongelewa hapa ni magufuli dhidi ya tabia zake chafu alizo anza kupandikiza tanzania na bahati nzuri mungu kamuwahi sasa hayo ya kanda ya ziwa sijuu kukubalika yametokea wapi? Kwani hapa inasemwa kanda ya ziwa au magufuli?
Wewe utakaa milele,
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Ni rahisi sana kuelewa machungu ya viongozi wa Chadema na wafuasi wake kufuatia kushindwa Uchaguzi wa mwaka 2015.

Laukama sii Ukanda wa Ziwa kumpa kura nyingi Magufuli na Chama cha CCM, Magufuli asingeshinda Uchaguzi huo. Ukanda wa ziwa ndio ulomaliza ubishi wote Uchaguzi wa 2015 na Chadema hawakutegemea kabisa.

Kwa hiyo Chadema wana hasira sana na Ukanda wa ziwa na sijui nani alowambia Wasukuma ndio wenyeji, ndio kabila pekee au basi tu wamechukulia yeye Msukuma basi walobakia woote huko ni Wasukuma.

Na hata Ukitazama Asili ya wakazi wa Chato haikuwa Wasukuma bali wenyeji wake waliitwa Wazinza! Haawana Ukaribu kama vile Wapare na Wachagga! Leo hii hatuwezi kusema wakazi wa Chato ni kabila fulani au gani maanake yapo Makabila yote mchanganyiko. Historia Chato haikuwa Mkoa wa Mwanza wala Shinyanga bali ilikuwa kijiji wilaya ya Biharamulo, Mkoa wa Ziwa Mgharibi (Kagera).

Kama Hayati angewapendelea kweli Wasukuma nadhani angekuwa na wakati mgumu sana maanake Wasukuma ni wenyeji wa Mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Tabora na Simiyu.
 
UPUMBAVU MTUPU!
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom