Kwanini CHADEMA mmetunga na mnasambaza uzushi wa ukabila wa Hayati Magufuli?

Ni rahisi sana kuelewa machungu ya viongozi wa Chadema na wafuasi wake kufuatia kushindwa Uchaguzi wa mwaka 2015.

Laukama sii Ukanda wa Ziwa kumpa kura nyingi Magufuli na Chama cha CCM, Magufuli asingeshinda Uchaguzi huo. Ukanda wa ziwa ndio ulomaliza ubishi wote Uchaguzi wa 2015 na Chadema hawakutegemea kabisa.

Kwa hiyo Chadema wana hasira sana na Ukanda wa ziwa na sijui nani alowambia Wasukuma ndio wenyeji, ndio kabila pekee au basi tu wamechukulia yeye Msukuma basi walobakia woote huko ni Wasukuma.

Na hata Ukitazama Asili ya wakazi wa Chato haikuwa Wasukuma bali wenyeji wake waliitwa Wazinza! Haawana Ukaribu kama vile Wapare na Wachagga! Leo hii hatuwezi kusema wakazi wa Chato ni kabila fulani au gani maanake yapo Makabila yote mchanganyiko. Historia Chato haikuwa Mkoa wa Mwanza wala Shinyanga bali ilikuwa kijiji wilaya ya Biharamulo, Mkoa wa Ziwa Mgharibi (Kagera).

Kama Hayati angewapendelea kweli Wasukuma nadhani angekuwa na wakati mgumu sana maanake Wasukuma ni wenyeji wa Mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Geita, Tabora na Simiyu.
Nakumbuka mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 chadema walianza kashfa dhidi ya wasukuma, walianza kutengeneza kila aina ya kashfa dhidi ya wasukuma kwa sababu ya wingi wa kura aliopewa Magufuli na watu wa kanda ya ziwa.

Kwa takwimu za NEC, bado kanda ya ziwa ndio itaweza ku determine urais wa nchi hii maana ina watu wengi kuliko kanda yoyote ile.

Sasa Chadema badala wajikite kutaka kuelewana na watu wa kanda ya ziwa ama wasukuma kama wanavyowaita, wao wanawakashfu, wanawadhihaki. Chadema wasubiri mwaka 2025 wainamishwe na kushikishwa ukuta waje kulalamika wameibiwa kura.
 
Nyerere alitushauri sana kuwa msichague rais kutoka kabila kubwa!!! Kwa mfano Samia is a good choice! Slaa is a good choice! Lissu is a good choice! Mwinyi is a good choice! Anyone from a small tribe who has integrity! Lowasa would have been a good choice!!
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Mnyika nae mchaga
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Wasukuma pamoja na wingi wao hawana effect kwani wengi ni wajinga na primitive sana hata aliyekufa juzi alifanya ujinga wa ajabu hata katika wadhifa wake mkubwa bado alikuwa mjinga mno. Angalia alivyozikwa haikuwezekana kumshusha kaburini hivi hivi live mpaka azikwe usiku na matunguri.
Halafu CHADEMA wanajimaliza kisiasa kwa kanda ya ziwa tuonane 2025 CCM itapeta tena hawajui kucheza na siasa.
 
Mkuu wasukuma ni wengi na hata walio vitengoni ni wengi sana hata sasa hivyo ni kukubaliana na hali halisi
 
Huo ukabila wa Magufuli mbona mimi sikunufaika nao?
Leo nimejua kumbe unashupaza shingo ukitetea kabila lako?
Huyu mtu aliesafirisha Twiga kuwapeleka Burigi mnahangaika bure kumsafisha,alikuwa mbinafsi sana.

Mtu huyu amejenga uwanja wa ndege Chato uliopaswa kujengwa mikoani,alipanga kujenga Kiwanja kikubwa cha mpira Chato ambacho huku akijua kabisa ni bora kingejengwa Shinyanga mjini ila aliendekeza Sana ubinafsi.

Ni utawala ambao kina ngosha walipepea sana maofisini hilo halina ubishi.
 
Tafuta video ya DC wa Arumeru aliyesema atarudi Yanga masna hatakua na cha kufanya Maana Serikali ya Pombe irikua ngumu sana kupenya hasa kwa watu wa kaskazini
 
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO
20210316_204423.jpg
FB_IMG_1616524447432.jpg
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Usilete za kuleta, mimi kada wa CCM na nasema legacy ya JPM ni kujaza wasukuma kila shirika,serikali hata uwaziri na vyombo vya Ul na Us.
Pitia appointments zake.
 
Nimekuwa nikisikia hizi maneno ama uzushi wa maneno kua Hayati Magufuli ni mkabila, ana upendeleo wa Wasukuma, mara hili mara lile.

Uzushi huu umekuwa ukipigiwa chapuo na watu wa kanda moja lakini pia uzushi huu umebebwa na Chadema kama mojawapo ya tuhuma dhidi ya Magufuli.

Leo kwenye press, mwenyekiti wa Chadema Bw. Mbowe amesisitiza kwenye mabaya ya Hayati Magufuli kua alikua na upendeleo wa kindugu(neportism). Kwa maana kwamba Magufuli alijaza ndugu zake na jamaa zake kweye taasisi za serikali na vyombo vya dola kwa upendeleo wa undugu na ukabila.

Kwa Dunia hii ya teknolojia, nilitegemea Chadema na wenzake walete ushahidi wa numbers, mfano, Wakurugenzi wa Halmashauri wako 250, Wasukuma wako 80, ama wakurugenzi wa mashirika ya umma wako 200, wasukuma wako 100, ama wakuu wa vyuo vya serikali wako 50, wasukuma ama ndugu zake na Magufuli wako 20.

Ama nilitegemea Chadema waje na takwimu za mawaziri wako labda 30, wasukuma 12, labda majaji nchi nzima wako 100, wasukuma wako 40.

Wangekua na hizo statistics hapo unaweza kufanya analysis na ukasema kweli kuna ukabila na upendeleo ama kweli Magufuli alikua mkabila na mwenye upendeleo wa kindugu kwenye kutoa nafasi.

Nashindwa kuwaelewa Chadema, hoja ya ukabila na upendeleo wa Magufuli uko kwenye kitu gani? Kwa nini chama kama Chadema waamue kutunga uzushi kama huu usio na ushahidi wowote na waupigie debe hadi kwenye vyombo vya habari?

Kwa nini Chama mjikite kwenye kutunga na kusambaza uzushi kama huu?

CHADEMA, msisahau tunajua ukabila mlionao kwenye CHama, kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, mkurugenzi wa fedha, mkurugenzi wa itikadi na wakurugenzi wote kua wa kabila moja.
Mwewe umenena CHADEMA ni chama cha kanda fulani tayari wewe ni mkabila,
Kama unaweza kusema hivyo kwanini wao wasiseme hivyo pia
 
Nyerere alitushauri sana kuwa msichague rais kutoka kabila kubwa!!! Kwa mfano Samia is a good choice! Slaa is a good choice! Lissu is a good choice! Mwinyi is a good choice! Anyone from a small tribe who has integrity! Lowasa would have been a good choice!!

Hiyo integrity inapimwaje na kuthibitishwa vipi?
 
Wasukuma pamoja na wingi wao hawana effect kwani wengi ni wajinga na primitive sana hata aliyekufa juzi alifanya ujinga wa ajabu hata katika wadhifa wake mkubwa bado alikuwa mjinga mno. Angalia alivyozikwa haikuwezekana kumshusha kaburini hivi hivi live mpaka azikwe usiku na matunguri.
Ukitaka ku define UKABILA vema kabisa basi msome huyu jamaa yetu..
Jamani Admin na wengineo, yaani kweli #jamiiforums imefikia kuwa Low kiasi hiki? Nilipotea kitambo kwa sababu hizi, narudi na kukuta bado watu wa aina hii mnawatekenya?!! Hivi kweli huu ndio Uhuru wa kujieleza halafu mnailalamikia Serikali kwa ujinga kama huu..
 
Ni rahisi sana kuelewa machungu ya viongozi wa Chadema na wafuasi wake kufuatia kushindwa Uchaguzi wa mwaka 2015.

Laukama sii Ukanda wa Ziwa kumpa kura nyingi Magufuli na Chama cha CCM, Magufuli asingeshinda Uchaguzi huo. Ukanda wa ziwa ndio ulomaliza ubishi wote Uchaguzi wa 2015 na Chadema hawakutegemea kabisa.

Kwa hiyo Chadema wana hasira sana na Ukanda wa ziwa na sijui nani alowambia Wasukuma ndio wenyeji, ndio kabila pekee au basi tu wamechukulia yeye Msukuma basi walobakia woote huko ni Wasukuma.

..hakuna ubishi kwamba ktk uchaguzi wa mwaka 2015 kampeni za UKABILA zilifanyika waziwazi.

..wapiga debe wa CCM walipanda majukwaani na kupiga kampeni, " msiwachague wale /chadema watu wa kaskazini / wachaga. "

..kwa bahati mbaya baada ya uchaguzi mkuu hazikufanyika juhudi zozote za kutibu MAKOVU ya kampeni hiyo chafu kabisa ya kikabila na kibaguzi kupata kutokea Tz.

NB:

..kabla ya kuitwa chama cha Wachaga Chadema kilikuwa kikipakaziwa kwamba ni chama cha Wakatoliki kwasababu wakati huo Dr.Slaa[aliyepata kuwa Padri ktk kanisa katoliki] ndio alikuwa kiongozi tishio kwa CCM.

..Alipoingia Lowassa Chadema kiliitwa chama cha " wakaskazini " ili Lowassa, Sumaye, na Mbowe, wameweze ku-fit kampeni chafu za CCM.
 
Back
Top Bottom