Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
KWANI MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI WALIOPEWA VIWANJA WAMEJENGA NA KUHAMIA?Ofisi zote kubwa za taasisi mbalimbali nchini zimehamia ama ziko mbioni kuhamia makao makuu Dodoma zikiwemo pia balozi mbalimbali.
Sijajua ni kwanini chama kikuu cha upinzani yaani Chadema bado kimeng'ang'ania mtaa wa Ufipa, Kinondoni Dar es Salaam wakati hayati Magufuli alishawaahidi kuwapa kiwanja Dodoma.
Mungu ni mwema wakati wote.