Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Naomba Kuuliza wakuu, mbona ziara nyingi kama sio zote za CCM ambazo ninaongozwa na ndugu KINANA pamoja bwana NAPE naona wanaenda vijijini sana? Kwanini hawaendi mijini?
Ni kwamba vijijini ndipo kuna wanaCCM wengi? au wameanza vijijini kisha watafata mijini?
Ni kwamba vijijini ndipo kuna wanaCCM wengi? au wameanza vijijini kisha watafata mijini?