Haya mengine ni matangazo baada ya habarItakuwa lisu anataka amchukue Samia awe mgombea 2025 kama alivyofanya 2015.
bila kapicha hainogi.
View attachment 2121873
Mkuu kula like.CCM
Chanzo Cha Matatizo
Chama cha Mazezeta
Chama Cha Mazuzu
Chama Cha Mafisadi
Ukiwa na akili kama hizi lazima uwe nyumbu.CCM
Chanzo Cha Matatizo
Chama cha Mazezeta
Chama Cha Mazuzu
Chama Cha Mafisadi
CCM? Real?Nani kachukizwa na kitendo cha upatanishi na kujenga umoja wa kitaifa?
Actually tumefurahi kuwa wale wapambe wa mwendazake ndani wa vyombo vya dola, walioitengeneza kesi feki ya ugaidi wameanza kuaibika hadharani.
CCM tumefurahia.
Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
CCM wananufaika sn na migogoro ndani ya nchiKuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Kwahio?Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
CHADEMA mwenzenu huyo kaona makosa ya mropokaji Lissu- mfuteni uanachama basiKwahio?
.chanzo cha wasiojulikanaCCM
Chanzo Cha Matatizo
Chama cha Mazezeta
Chama Cha Mazuzu
Chama Cha Mafisadi
Kweli kaka, tunarithi marafiki haturithi maadui.Adui wa mwingine hawezi kua adui wako...
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Wanavyotukana wanajitambulisha kwamba wao ni CCM?Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Anayefurahia ugomvi wa wawili huyo ni shetani.Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.
Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.
Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.
Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...
Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?
Time will tell
Na ndio maana wana bidii ya kuitengenezaCCM wananufaika sn na migogoro ndani ya nchi