Kwanini CCM wamechukizwa na kitendo cha Lissu na Samia kukutana?

Nani kachukizwa na kitendo cha upatanishi na kujenga umoja wa kitaifa?

Actually tumefurahi kuwa wale wapambe wa mwendazake ndani wa vyombo vya dola, walioitengeneza kesi feki ya ugaidi wameanza kuaibika hadharani.
CCM tumefurahia.
 
CCM
Chanzo Cha Matatizo
Chama cha Mazezeta
Chama Cha Mazuzu
Chama Cha Mafisadi
Ukiwa na akili kama hizi lazima uwe nyumbu.
JamiiForums1051490604.jpg
 
Nani kachukizwa na kitendo cha upatanishi na kujenga umoja wa kitaifa?

Actually tumefurahi kuwa wale wapambe wa mwendazake ndani wa vyombo vya dola, walioitengeneza kesi feki ya ugaidi wameanza kuaibika hadharani.
CCM tumefurahia.
CCM? Real?
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.

Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
CCM wananufaika sn na migogoro ndani ya nchi
 
Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.

Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Kwahio?
 
Mama Samia fungua ukrasa mpya; jiwekee hazina mbinguni hili taifa lilikuwa linapelekwa siko, damu za watu zinalia kwa uchungu.

Hao wana CCM ishi nao ki akili, wengi ni wanafiki watupu.

Kwa hili nakuoongeza, mwanzo mzuri - kuanza upya si dhambi.
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
2183704_IMG_1183.jpg
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Wanavyotukana wanajitambulisha kwamba wao ni CCM?
 
Kuna mambo yanafikirisha mno na hakika MUNGU siku zote hakawii kumuonyesha mtu adui yake halisi.

Siku chache tu zilizopita CCM walikua mstari wa mbele kuwalaumu CHADEMA kuwa sio wasikivu, wamegoma kuonana na Rais Kwenye ule Mkutano fake, sijui blah blah kibao.

Jana Lissu kakutana na Samia, Watu wale wale wamegeuka Mbogo na kuanza kumsimanga Samia na CHADEMA, Kuna yule RAS wa Mbeya aliyenukuliwa Whatsapp alisema Samia amewakosea pakubwa Sana CCM.

Kwanza RAS sio cheo Cha kisiasa na hakutakiwa kuonyesha mahaba makubwa kiasi kile ila pia niliwaza kuwa CCM wangetoa statement kwa Mwenyekiti wao kufanya jambo la busara kwa mustakabali wa Taifa, kwa bahati mbaya sana, tangu jana ni matusi na kashfa dhidi ya Samia, Lissu na CHADEMA kiasi kwamba unaogopa...

Kuna Nini nyuma ya pazia kwa CCM dhidi ya dhihaka hizi kwa Samia, Lissu na CHADEMA?

Time will tell
Anayefurahia ugomvi wa wawili huyo ni shetani.
CCM washabiki wake wengi ni wafuasi wa shetani.
 
Back
Top Bottom