Tunaona Hivi Karibuni CCM Wanachagua Spika wa Bunge. Hiki Chama ni Kichekesho Tupu. Katika Wananchi Wote na Hao Wanachama Wao Kila Leo Wanayarudia Majina Yaleyale Style ya Recycle Ideas. Anna Abdalah na Anna Makinda Wao Ndio Wengine Tumewasoma Kwenye Vitabu vya Historia ya Tanzania. Hii ni the Best CCM Can Do for Tanzania? Hao Wanaotajwa Kuongoza Bunge Wanaonekana Sio Effective Kabisa na Tutegemea Nini Bungeni? Thats Why CCM is Not Relevant to Tanzanians. Ukifanyika Uchaguzi Chama Kinatakiwa Kisome Wananchi Wanasema Nini Juu ya Sera Zao na Direction ya Nchi. What Suprise Most of Us, CCM Inataka Kuendelea na Hayo Hayo Makosa Wananchi Hawayataki. Sisi Wananchi Tunaenda Miaka Mingine Mitano Zaidi ya Kubuluzwa Tena. Kitu Kimoja Tunafahamu Kikwete Hatabadilisha Style Yake ya Kusafairi na Tour all Countries Again, This Time Sijui Atatembelea Nchi Zipi. Kingine ni Kwamba Budget Itatoka na Mawaziri Watatumia Hizo Funds Kujengea Majumba na Kusomeshea Watoto Zao Nje ya Nchi. Nchi Haina Transparency ya Aina Yeyote na Vyombo vya Habari Serikali Wanalipwa Kutetea Maovu. Wananchi Tuendelee Kupigania Haki na Kuexpose Haya Maovu kwa Wananchi.