Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hakika inashangaza sana CCM chama kikongwe duniani kilichikubali mfumo wa vyama vingi duniani kinahangaika kuhakikisha kinakiua chama cha upinzani cha chadema kwa kutumia nguvu zake zote ikiwa ni pamoja na
Kuzuia mikutano ya hadhara na ya ndani ya chama cha CHADEMA.
Kutunga sheria kandamizi za vyama
Kuwakamata na kuwabambikizia kesi za uaji ugaidi na uhujumu uchumi viongozi wanachama na wafuasi wa chadema
Kuwa na tume ya chama chake ya uchaguzi
Kutumia polisi usalama wa taifa mahakama kuidhihofisha CHADEMA.
Kuzuia mijadala ya katiba mpya
Hatimae kumteka na kumbambikizia mwenyekiti wa chadema taifa kesi ya ugaidi
Je kwanini CCM ina hofu na CHADEMA?
Kuzuia mikutano ya hadhara na ya ndani ya chama cha CHADEMA.
Kutunga sheria kandamizi za vyama
Kuwakamata na kuwabambikizia kesi za uaji ugaidi na uhujumu uchumi viongozi wanachama na wafuasi wa chadema
Kuwa na tume ya chama chake ya uchaguzi
Kutumia polisi usalama wa taifa mahakama kuidhihofisha CHADEMA.
Kuzuia mijadala ya katiba mpya
Hatimae kumteka na kumbambikizia mwenyekiti wa chadema taifa kesi ya ugaidi
Je kwanini CCM ina hofu na CHADEMA?