lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Kwanini CCM inaogopa ushindani ulio huru na haki?
Kuna haja ya CCM kuacha kuogopa uchanguzi ulio huru na haki,hiki chama kupitia polepole wametuambia kuwa ni CCM mpya inayojali wanyonge,kuanzia machinga,wakulika,wafanyakazi na kadhalika kwa maaana hiyo uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ccm itashinda kwa kishindo sio?
Kama ndivyo kwanini ccm chama changu kisiridhie tume huru ya uchaguzi?
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani wameunga mkono juhudi za mh rais,nafikiri sisi ccm tukikubali tume huru tutashinda tu kwa kishindo,sioni sababu za uoga kabisa
Kuna haja ya CCM kuacha kuogopa uchanguzi ulio huru na haki,hiki chama kupitia polepole wametuambia kuwa ni CCM mpya inayojali wanyonge,kuanzia machinga,wakulika,wafanyakazi na kadhalika kwa maaana hiyo uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ccm itashinda kwa kishindo sio?
Kama ndivyo kwanini ccm chama changu kisiridhie tume huru ya uchaguzi?
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani wameunga mkono juhudi za mh rais,nafikiri sisi ccm tukikubali tume huru tutashinda tu kwa kishindo,sioni sababu za uoga kabisa