Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,415
- 30,925
Nawauliza ccm kwann mnataka tuingie kwenye uchaguzi tukiwa na hii katiba mbovu kuliko kawaida?
Mfano tumeshuhudia ubabe wa matokeo ya wabunge Malaya kuchaguliwa chini ya mwamvuli wa dola hivyo wanapita kibabe
Wakati huohuo mnasema matokeo yasipingwe mahakamani !!!
Hii ni dhambi na haram ya wazi kabisa itakayotuletea machafuko siku moja hata Kenya uvumilivu ulifika mwisho wakachinjana na mwisho wakaheshimiana tafadhali tusifike huku !!
Mfano tumeshuhudia ubabe wa matokeo ya wabunge Malaya kuchaguliwa chini ya mwamvuli wa dola hivyo wanapita kibabe
Wakati huohuo mnasema matokeo yasipingwe mahakamani !!!
Hii ni dhambi na haram ya wazi kabisa itakayotuletea machafuko siku moja hata Kenya uvumilivu ulifika mwisho wakachinjana na mwisho wakaheshimiana tafadhali tusifike huku !!