matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,570
- 15,316
Hata kwenye mapambano ya ndondi zisizo rasmi mtaani jamaa ambaye huwa haongei sana au kujibujibu huwa ana uhakika na ushindi. Muongeaji sana huwa anakula ngumi moja tu chali anazimia na kupepewa.
Nadhani hizi ndio sababu:
1: Wamekomaa hawahitaji kuongeaongea.
2: Wanaamini katika mikakati yao kuwa inatekelezeka.
3: Wametafiti wapinzani wao na kugundua hawana uwezo kabisa.
4: Wamejiandaa ndio maana hakuna watu wao wanaenguliwa kwa kutokukidhi vigezo.
5: Wanaamini Mgombea wao anasubiriwa kwa hamu na wananchi wampongeze kwa makubwa aliyowafanyia.
Kwa hili nawapongeza. Mambo yenu yameenda kisomi awamu hii.
Nadhani hizi ndio sababu:
1: Wamekomaa hawahitaji kuongeaongea.
2: Wanaamini katika mikakati yao kuwa inatekelezeka.
3: Wametafiti wapinzani wao na kugundua hawana uwezo kabisa.
4: Wamejiandaa ndio maana hakuna watu wao wanaenguliwa kwa kutokukidhi vigezo.
5: Wanaamini Mgombea wao anasubiriwa kwa hamu na wananchi wampongeze kwa makubwa aliyowafanyia.
Kwa hili nawapongeza. Mambo yenu yameenda kisomi awamu hii.