Kwanini CCM hawaendi kuwaeleza wanaojua mambo kuhusu kujivua gamba?

kakin

Member
Oct 20, 2010
48
7
wadau

Habari ya saa 2 usiku imeonesha wana magamba wapo rukwa wakieleza nini maana ya kujivua gamba ila mimi binafsi nashindwa kuelewa?

kwanini wasitembelee kama vile Iringa, Mbeya Kigoma mwanza arusha kilimanjaro na ruvuma au hata vile bukoba na shinyanga?
 
Unataka waende kuzomewa? Lakina hata huko Rukwa umeona mkutano wao ulikuwaje? Ulipata mapokezi ya wanafunzi na watoto au ?
 
Back
Top Bottom