K kakin Member Oct 20, 2010 48 7 May 31, 2011 #1 wadau Habari ya saa 2 usiku imeonesha wana magamba wapo rukwa wakieleza nini maana ya kujivua gamba ila mimi binafsi nashindwa kuelewa? kwanini wasitembelee kama vile Iringa, Mbeya Kigoma mwanza arusha kilimanjaro na ruvuma au hata vile bukoba na shinyanga?
wadau Habari ya saa 2 usiku imeonesha wana magamba wapo rukwa wakieleza nini maana ya kujivua gamba ila mimi binafsi nashindwa kuelewa? kwanini wasitembelee kama vile Iringa, Mbeya Kigoma mwanza arusha kilimanjaro na ruvuma au hata vile bukoba na shinyanga?
Omuregi Wasu JF-Expert Member May 21, 2009 749 148 May 31, 2011 #2 Unataka waende kuzomewa? Lakina hata huko Rukwa umeona mkutano wao ulikuwaje? Ulipata mapokezi ya wanafunzi na watoto au ?
Unataka waende kuzomewa? Lakina hata huko Rukwa umeona mkutano wao ulikuwaje? Ulipata mapokezi ya wanafunzi na watoto au ?
K komredi ngosha JF-Expert Member Jan 11, 2011 382 71 May 31, 2011 #3 nawasubiri waanze ziara za vyuo vikuu, yaani wakija mabibo hawatoki !
Mbwiga_Plus Senior Member Jan 5, 2011 163 42 May 31, 2011 #4 mTAJI wa magamba ni akili finyu za audience!
K kakin Member Oct 20, 2010 48 7 Jun 1, 2011 Thread starter #5 Mbwiga_Plus said: mTAJI wa magamba ni akili finyu za audience! Click to expand... Nakubaliana na wewe mara 100
Mbwiga_Plus said: mTAJI wa magamba ni akili finyu za audience! Click to expand... Nakubaliana na wewe mara 100