nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,060
- 1,126
kwa hiyo kama wazazi au mababu zangu walifanya maora hata kama mimi sijahusika na sijui inawezekana nikapata madhara...vipi kuhusu wakoloni waliotesa watumwa hichi kizazi chao cha leo kinaweza kuwa kina madhara kinayapata kutokana na hayo waliofanya mababu zao(dhulma na mateso kwa watumwa hasa wa Africa)Kuna ishu ya damu hapa kizalia kinahusika sana