johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,431
Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja?
Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala ya kumshambulia Zitto kama mtu binafsi.
Niwape changamoto hii mzee Chenge na Dr Tulia: tumieni weledi na kuweka siasa pembeni ili jambo hili liishe.
Maendeleo hayana vyama!
Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala ya kumshambulia Zitto kama mtu binafsi.
Niwape changamoto hii mzee Chenge na Dr Tulia: tumieni weledi na kuweka siasa pembeni ili jambo hili liishe.
Maendeleo hayana vyama!