Kwanini bodi ya mikopo haiendi kudai Misikitini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,785
141,681
Imeripotiwa katika gazeti la Mtanzania kwamba bodi ya mikopo itawatafuta wadaiwa wake hadi majumbani, kwenye nyumba za starehe na makanisani.

Najiuliza kwanini makanisani tu na siyo na misikitini? Au misikitini hawaingii hao wadaiwa?!!
 
Tunaoingia Msikitini hatutaki madeni, deni ni dhima kubwa ukifa nalo, tunajisalimisha kwa kupeleka majina yetu wakate kwenye.
 
Back
Top Bottom