Kodi tunazolipa za kazi gani. Kila kitu ni kulipia. Kama wanasema elimu bure, kwa nini isiwe afya bure?Kwa nn bima?
Naona serekali inatumia nguvu kubwa sana kuhamasisha kila mtz awe na bima ya fya
Kwani isiwe matibabu bure ?
Au kuchangia kwa % Fulani kwa kila mgonjwa
Ni elimisheni kwa nini bima ya afya?