escrow
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 371
- 321
Wakuu kama maada ilivyojieleza hapo juu, naomba kujua sababu kwa nini wagonjwa wa macho hasa huduma ya miwani na wale wa meno hawatibiwi kwa bima?
Ni kwamba mara ya kwanza nilienda kutibiwa macho nikiwa na BIMA lakini sikuweza kupata huduma baada ya kuambiwa miwani najitegemea kwa malipo nje ya Bima.
Hivi karibuni nimeenda tena na kadi NHIF ili nihudumiwe jino lilikuwa linauma lakini ikawa tofauti na huduma nikaambia jino halitumii Bima.
Naomba anayejua sababu anijuze kwa ufasaha.
Shukrani sana!!
Ni kwamba mara ya kwanza nilienda kutibiwa macho nikiwa na BIMA lakini sikuweza kupata huduma baada ya kuambiwa miwani najitegemea kwa malipo nje ya Bima.
Hivi karibuni nimeenda tena na kadi NHIF ili nihudumiwe jino lilikuwa linauma lakini ikawa tofauti na huduma nikaambia jino halitumii Bima.
Naomba anayejua sababu anijuze kwa ufasaha.
Shukrani sana!!