sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 628
- 570
ni kweli mungu yupo , na anatusikiana kutujibu, aliumba ulimwengu huu akatupa akili na ujuzi wa kutambua mema na mabaya , ikiwa alitupa akili hizo , ww kuwa mzembe ni kutokana na kutotumia akili yako aliyokkupa na yale ulioyofunzwa, wewe kuwa mvivu ni kutokana na kutotumia nguvu na maarifa aliyokupa .Kama Mungu hapendi wazembe na wavivu, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na wazembe na wavivu?
Yani yeye mwenyewe alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na wazembe na wavivu, hakuumba ulimwengu huo, kaumba ulimwengu ambao unaweza kuwa na wazembe na wavivu, halafu anajifanya hapendi wazembe na wavivu?
Huyo Mungu yupo kweli au mnaongopeana tu?
nyinyi mnaishia kusema Mungu hayupo lakin mnaamini shetani yupo kwakuwa anajidhihirisha kwenu ,ana majeshi yake wachawi majini, n.k ikiwa mungu atajidhirisha kwetu sisi wanadamu hatutaweza kuishi kutokana na utukufu wake.