Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni mkaombe mkopo Crdb bank mfungue viwandaUkifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
Mkuu, ndio umuelekeze ili aelimike kuliko kumtweza kama unavyo fanya hapaInaonekana wazi hata muundo wa Benki ya Dunia huujui. International Finance Corp. inafanya kazi gani?
The World Bank only offers loans to countries for institutional or infrastructure development projects.Kila bank huanzishwa kwa malengo maalumu, kuna bank nyingi tu si naweza toa mikopo ya aina hiyo, sio lazima world bank. Pia serikali hazijengi viwanda siku hizi, ni private sector, serikali zimejikita kutoa huduma za jamii, kiwanda kipi kimejengwa na serikali? Pia MTU kama dangote naamini anaweza kopa bank ya dunia.
Acha ninyamaze!Mkuu, ndio umuelekeze ili aelimike kuliko kumtweza kama unavyo fanya hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili mpate akili, muwe na siha njema,mazingira rafiki kwenu kuishi.Ukifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
Jukumu la msingi la serikali ni huduma za kijamii na sio kufanya biashara au kujenga viwanda. Kama WB inaikopesha serikali ulitegemea iikopsheje kwenye ujenzi wa viwanda wakati sio jukumu la serikali kujenga viwanda? Very simple logic!Ukifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
Hii ndio changamoto ya Africans wengi, nimekuwa huko najua hili tatizo.Mkuu, ndio umuelekeze ili aelimike kuliko kumtweza kama unavyo fanya hapa
... au EXIM ya China ("rafiki yetu") kama hawajaweka rehani hadi vichanga vitakavyozaliwa miongo ijayo! Akili zao wanazijua wenyewe.
Ukifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
Sina pumzi.
Ndiojifunze ili skunyingine usije ukashika mavi sababu ya kuchamba kwiiiiiingi......Sina pumzi.
Nataka nikafungue account bank ya duniaUkifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
Inaonekana wazi hata muundo wa Benki ya Dunia huujui. International Finance Corp. inafanya kazi gani?
Kwahiyo unataka kusema Ilani na maneno ya Tanzania ya Viwanda ,Serikali ya Viwanda ni uongo wa CCM?Viwanda ni kazi ya sekta binafsi tu,serikali inakopa kujenga miundombinu na kuboresha huduma za kijamii.
Sent using Jamii Forums mobile app