Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Ndugu wana JF,
Ninaswali ambalo nimekuwa najiuliza kwa muda bila kupata jibu.
Je ni kwa nini Bendera upandisha asubuhi - saa 12, na ikifika jioni saa 12 ushushwa?. Yawezekana wengi mnafahamu ni kwa nini, hivi msinihukumu kwa kutokujua kwangu, bali mnipe jibu.
Nawakilisha.
Ninaswali ambalo nimekuwa najiuliza kwa muda bila kupata jibu.
Je ni kwa nini Bendera upandisha asubuhi - saa 12, na ikifika jioni saa 12 ushushwa?. Yawezekana wengi mnafahamu ni kwa nini, hivi msinihukumu kwa kutokujua kwangu, bali mnipe jibu.
Nawakilisha.