Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,132
- 2,223
Zitto anatapatapa
Anajua ubunge Ndio bai bai
Zitto saizi yake Uraisi, siyo Ubunge wewe
Zitto anatapatapa
Anajua ubunge Ndio bai bai
CCM imeshaishiwa mbibu na sasa wameanza hujuma za kisiasa na kutaka zihalalishwe kisheria!View attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
View attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Washauri wabunge wako wote toka chadema waache ubunge maana kwa post hii nao ni mafukara tuKuliko kuwa mbunge kwenye bunge la makondoo ni bora kuuza barafu za ukwaju za Azam. Watu wenye dhiki ndio wanaweza kufurahia hilo bunge linaloburuzwa na jiwe.
Zitto saizi yake Uraisi, siyo Ubunge wewe zwazwa kweli.
CCM siyo Ccm, kabla hujatuma ujumbe soma kwanza, au shuleni ulienda kusomea ujinga by FaizyZanzibar ni Ccm
Wachache walikuwa CUF ila walirudi Ccm baada ya kuuzwa na Maalim seif
Nahisi Wana mtindio wa UBONGO, C BUREView attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Hao wala urojo ndio wanaifanya fisuemu itumie hila na unyama mwingi huko zinjibari ili kupata uhalali...Ph.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!
Na kisha wanajisifia kuimarisha demokrasia kwa jina la "maendeleo hayana vyama!"lengo ni kupita bila kupingwa!!!
View attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .
Aaah NYUMBU mpo wengi kweli.Zitto Naona Tena umeanza kuwashika makalio vijana wako wa post zako za Twitter..
Na unawajua Pakuwashika kweli!.
Ila wenye akili hatuwezi Amini Mrejesho wa kikao chochote bila kuona Maandishi yaliyoambatana na Mihuri husika.
Endelea kuwashika tu hao vijana wa ufipa Maana Vichwa vyao Ni vyeupe Mithili ya debe tupu ndo maana kupiga kelele kwao hata Kama Ni ujinga nikawaida.
PhD ndani ya CCM haitakiwi, inatolewa kichwani, inawekwa kwenye mfuko wa nyuma wa suruali ya JIWE ⛰Ph.D Bashiru Ally haiwezi kufanya hayo....... Hizo ni mbinu za wala urojo wenyewe!
hahahahaaaa.... mkuu una mambo!View attachment 1279609
View attachment 1279610
Huu ndio mkakati pekee wa ccm uliobakia kabla ya kuleta vita .