Kwanini sheria za kodi zisinge angaliwa na Makonda akajibiwa kwa mujibu wa sheria hizo?
Rais na waziri mkuu wanapewa nakala za majibu hayo kwasabb gani? Au ndiyo kuthibitisha kwamba Makonda anaogopwa sana na mawaziri?
Kuna taarifa kwamba tangu atumbuliwe Nape Nnauye baada ya kumuundia kamati ya kumchunguza, Makonda amekuwa akiogopwa kama nyoka aina ya Koboko.
Na kama siyo kwamba waziri Mpango anamuogopa Makonda, je, huo ndiyo utaratibu anaoutumia kuwajibu watu ama mashirika yote yanayoomba msamaha wa kodi?
Source: Cloudtv360..kwenye segment ya mastori ya tauni.
..Ndugu. Hassan Ngoma amesema ana barua ya waziri Mpango ya tarehe 10/03/2018, akimjibu RC Makonda na kwamba nakala zake zimetumwa kwa rais na w/mkuu. Swali likawa kwanyn hao watumiwe nakala? Likaachwa wazi swali hilo bila majibu.