Lungu fisadi ndio tabia za madikitetaAnatawala kwa haki, hana visasi, hana kinyongo na watesi wake..hana kinyongo na chama alichokitoa madarakani.
Alisema hatutawatesa watesi wetu maana tukifanya hivyo hatutakuwa tofauti na wao..
Ni muwazi na mtu wa Dini sana.....
Lakini Nyuma ya Pazia kwenye utawala wa Lungu Zambia ilikuwa kama Jamhuri ndogo ya China, maana kila kitu walipewa Wachina...Sasa Wazungu wapo kwenye mikakati ya kuirudisha Zambia kwenye himaya yao....