matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,571
- 15,321
Hawa designer wa huu mradi wa kulipendezesha jiji walitusahau sisi tunatumia baiskeli kama chombo cha usafiri na anasa binafsi.
Nimeona kwa Mabeberu kule licha ya utajiri wao lakini hawajatusahai wapenzi wa baiskeli.
Serikali itukumbuke aisee, maana wengine ndio anasa zetu. Ila nikiona jinsi jamaa wanavyoendesha baiskeli huko Kariakoo na Posta ni kama swala wanaoogelea kwenye bwawa lililojaa mamba. Near miss za kufa mtu.
Nimeona kwa Mabeberu kule licha ya utajiri wao lakini hawajatusahai wapenzi wa baiskeli.
Serikali itukumbuke aisee, maana wengine ndio anasa zetu. Ila nikiona jinsi jamaa wanavyoendesha baiskeli huko Kariakoo na Posta ni kama swala wanaoogelea kwenye bwawa lililojaa mamba. Near miss za kufa mtu.