Ni kweli hata mimi naunga mkono hakuna bank inyotoa huduma nzuri ya CC hapa kwetu na hasa CC kukiwa na akina Dada,mtu anatumia monitor kwa ajili yakujipodoa badala ya kuwahudumia wateja?yaani kuna mambo ya ajabu sana ktk hiz bank zetu.ndio maana kwa sasa watu wengi wamehamia katika hizi huduma za TIGO PESA,M-PESA nk zile ziko fasta hakuna folen wala urembo papo kwa papo labda mtandao usumbue.