nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 996
- 826
Nimezunguka karibu maduka manne asubuhi na jioni kutaka kununua Mkate unaotengenezwa na BFP Ltd bila mafanikio, jibu nililopata kutoka kwa muuza duka "Kiwanda kimeishiwa na Sukari"
Hivi zile Bilioni 10 walizoweka kama dhamana Serikalini wamekwisha rudishiwa? Kama mtakumbuka taarifa zilishawahi kufika Bungeni?
Hivi zile Bilioni 10 walizoweka kama dhamana Serikalini wamekwisha rudishiwa? Kama mtakumbuka taarifa zilishawahi kufika Bungeni?