Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Baada ya uteuzi wa Sekretariati mpya ya Chama Twawala-CCM na Kinana kuibuka kama Katibu Mkuu mpya wa CCM kwa mara ya kwanza watu wamesifia sana uteuzi huo kutoka kila kona ya nchi hii hasa wanachama wa Chama Cha Mafisadi-CCM.
Mimi nataka tu niwakumbushe hawa wanachama wachovu wa CCM kwamba Kinana alikuwepo tangu enzi za Baba wa Taifa lakini hakuwahi kupewa wadhifa wowote ndani ya TANU wala CCM. Hapa ndipo mahali pakuanzia kutafakari uteuzi huu wa Kinana. Abdurhaman Kinana alikuwa mwanajeshi wa cheo cha Kanali mpaka alipostahafu mwaka 1972 baada ya kuitumikia JWTZ kwa miaka 20 tu. Baada ya hapo hakusikika tena kwenye medani za siasa wala za Jeshi. Sikumbuki hata kamaalishiriki vita vya Nduli Iddi Amini miaka ya 1978/79 sina hakika!!!
Bila shaka Mwalimu(Baba) wa Taifa hili alikuwa akimjua Kinana vizuri sana kuanzia URAIA wake,UZALENDO wake kwa Tanzania na WELEDI wake katika siasa za Tanzania. Nina hakika Mwalimu alikuwa anajua vizuri sana kuhusu URAIA wa Kinana ambaye hapana shaka huyu jamaa ana ASILI ya SOMALIA. Hili mwalimu alilijua na ndiyo maana hakuwahi kumpa nafasi yoyote kubwa katika nyanja za kisiasa maana KINANA'S CITIZENSHIP IS QUESITIONABLE!!!!
Sasa napenda kuwauliza Wana CCM na mwenyekiti wao Kikwete huyu Kinana amepata wapi uzalendo wa kuwa Katibu Mkuu wa Chama chenu cha Mafisadi???Je, wanaweza kututhibitishia pasipo shaka kuwa Kinana ni Raia halisi wa Tanzania? Je, katika vita vya kumwoa Nduli Idd Amini, huyu Kinana alikuwa wapi maana hata kama alistahafu Jeshi mwaka 1972 nijuavyo sheria za Jeshi mahali popote duniani vita vikiripuka hata wanajeshi waliostahafu huitwa kuungana na wenzao ili kuitetea nchi yao. Now CCM tell us Kinana's role in the Tanzania/Uganda war!
Nje ya hapo Kinana hafai kuwa Katibu Mkuu wa Chama chenu cha Mafusadi maana hana Uzalendo wa nji hii.
Nawasilisha.
Mimi nataka tu niwakumbushe hawa wanachama wachovu wa CCM kwamba Kinana alikuwepo tangu enzi za Baba wa Taifa lakini hakuwahi kupewa wadhifa wowote ndani ya TANU wala CCM. Hapa ndipo mahali pakuanzia kutafakari uteuzi huu wa Kinana. Abdurhaman Kinana alikuwa mwanajeshi wa cheo cha Kanali mpaka alipostahafu mwaka 1972 baada ya kuitumikia JWTZ kwa miaka 20 tu. Baada ya hapo hakusikika tena kwenye medani za siasa wala za Jeshi. Sikumbuki hata kamaalishiriki vita vya Nduli Iddi Amini miaka ya 1978/79 sina hakika!!!
Bila shaka Mwalimu(Baba) wa Taifa hili alikuwa akimjua Kinana vizuri sana kuanzia URAIA wake,UZALENDO wake kwa Tanzania na WELEDI wake katika siasa za Tanzania. Nina hakika Mwalimu alikuwa anajua vizuri sana kuhusu URAIA wa Kinana ambaye hapana shaka huyu jamaa ana ASILI ya SOMALIA. Hili mwalimu alilijua na ndiyo maana hakuwahi kumpa nafasi yoyote kubwa katika nyanja za kisiasa maana KINANA'S CITIZENSHIP IS QUESITIONABLE!!!!
Sasa napenda kuwauliza Wana CCM na mwenyekiti wao Kikwete huyu Kinana amepata wapi uzalendo wa kuwa Katibu Mkuu wa Chama chenu cha Mafisadi???Je, wanaweza kututhibitishia pasipo shaka kuwa Kinana ni Raia halisi wa Tanzania? Je, katika vita vya kumwoa Nduli Idd Amini, huyu Kinana alikuwa wapi maana hata kama alistahafu Jeshi mwaka 1972 nijuavyo sheria za Jeshi mahali popote duniani vita vikiripuka hata wanajeshi waliostahafu huitwa kuungana na wenzao ili kuitetea nchi yao. Now CCM tell us Kinana's role in the Tanzania/Uganda war!
Nje ya hapo Kinana hafai kuwa Katibu Mkuu wa Chama chenu cha Mafusadi maana hana Uzalendo wa nji hii.
Nawasilisha.