Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila jamani tunatakiwa tuwape heshima zao wanatulinda usiku na mchana
Walimu wana sare?Mkuu nawe ungevaa sare zako..
Vaa hata kofia ya UWT tutajua tu!Walimu wana sare?
Yaani nipange foleni muda mrefu halafu uje uone hela nilizochukua ni kama bili ya bia baa?Tuheshimiane mkuu!😂😂😂😂Yaani mtu akijua pay imetoka na anashida ya fedha basi anaamua kuvaa sare hata kama muda huo hayupo kazini kuja bank na kupitiliza mbele bila kufuata foleni. Mbona wauguzi hawafanyi hiki kitu?
Tutajie jina la hiyo sheria specifically tuijue.Ni sheria na taratibu za benki askari asipange foleni, ukiona wivu sana vaa uniform na wewe usipange foleni.
Wewe unahisi aje?Hao wanahisi wapo juu ya sheriaa
Mm nahisi n wakuda tuuWewe unahisi aje?