Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,188
mimi nikiwa naugua....huwa nalia saa zote......watu wakija kunitembelea ndio tabu kubwa...utafikiri nimefiwa.....hii ni nini?
preta jamani!
Nahisi utakuwa ni uoga. Unafikiri kuugua ni kufa.
Watu ambao hatuugui mara kwa mara ndio huwa tuna tatizo hilo.
Pole sana.