daud gallus
Member
- Dec 2, 2018
- 10
- 9
Kuna baadhi ya watu wengi wao wanaotoka kweny familia duni Wakishaanza kupata njia ya mafinikio au wamefanikiwa wanaanza dharau au maringo hat kwa baadhi ya ndugu zao hat jamaa zao ,wengne wanabadil hadi miondoko kabs hat waliowaonyesha njia ya mafanikio wanawadharau.
Hii nlikua nauliza hii inatokana na nn!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nlikua nauliza hii inatokana na nn!??
Sent using Jamii Forums mobile app