nicholous mella
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 312
- 161
Hahahahah!!!! Mademu bwana sijui wataacha linii ubinafsii!!! Ngoja nikuulize unawezaa kujipaa mimba wee mwenyewe??? Bila ku2mia mbegu za mwanaumeNenda leba, kalete kiumbe kama wewe
Hahahahah!!!! Mademu bwana sijui wataacha linii ubinafsii!!! Ngoja nikuulize unawezaa kujipaa mimba wee mwenyewe??? Bila ku2mia mbegu za mwanaumeNenda leba, kalete kiumbe kama wewe
Vipi mkuu, ina ukweli nini?Hahahaha this made my day
Linganisha,Hahahahah!!!! Mademu bwana cjui wataach lnii ubinafsii!!! Ngoja nikuulize unawezaa kujipaa mimba wee mwenyewe??? Bila ku2mia mbegu za mwanaume
Can't say yes/no, maana binafsi sijawah kutaman hiloVipi mkuu, ina ukweli nini?
Ok! Mtu akikutongoza ukamkataa, halafu umuone anamtongoza mwingine , hupati wivu?Can't say yes/no, maana binafsi sijawah kutaman hilo
Kama nimemkataa Kwa nia moja wala siumii, tena huwa nashukuru asiendelee kuniumiza, ila kama nimekataa ile staki nataka ndo ntaumiaOk! Mtu akikutongoza ukamkataa, halafu umuone anamtongoza mwingine , hupati wivu?
Ok! Jane.Kama nimemkataa Kwa nia moja wala siumii, tena huwa nashukuru asiendelee kuniumiza, ila kama nimekataa ile staki nataka ndo ntaumia
Mimi demu akishanikataa na urafiki unaishia hapo
Gud....Mtu umemtongoza akasema hataki unaendelea kuwa nae urafiki wa namna gani?!...kama ameona sifai kuwa mpenz basi hata urafiki haufai
Siku zikikata utajua haujui80% ya thread za Jf zamzungumzia mwanamke, this shows how special we are,
Alhamdulilah nimezaliwa mwanamke
uzi huu waliochangia wengi ni watoto hivi wanwke walivyokua cheap bado mnatongoza .uwo muda mnautoa wapiSipendagi mwanamke kukubali kwa vitendo, huwa naenjoy anavyo hangaika kutoa jibu la mdomo hahahahha mara ntakwambia, lini una muda yaani full mawenge.
Wengine kutoa jibu ni mtihani we jishikie mkono kapige vyombo
Lkn Mkuu wanawake level gani?uzi huu waliochangia wengi ni watoto hivi wanwke walivyokua cheap bado mnatongoza .uwo muda mnautoa wapi