Anakutesa au unamruhusu mwenyewe akutese...?Hivi kwanini baadhi ya wanawake akijua unampenda kweli yani anakutesa.?
mtese na wewe, mkaushie,,acha moyo usukume damu mkuuHivi kwanini baadhi ya wanawake akijua unampenda kweli yani anakutesa.?
Ni muhimu sana kua na backups! Hata ukue na mwanamke unampenda aje yaani, wanadada wa plan B uwe nao kuanzia 2 hata wawe marafiki tu wa kutaniana kimtindo ipo siku isiyojulikana watakufaa.Wanaona huna plan B kwa hyo hata akikufanyia ubaya huwezfurukuta
kweli hii dunia si yetu kabsaaaa, sisi ni wageni wapitaji kwa hiyo hatuna haja ya kutesekaPole sana mkuu,utakua ushapigwa tukio dabodabo!
Kwani dunia ni yetu basi,