Pusha T
Member
- Jan 2, 2015
- 64
- 22
raha ya utumbo unukie kinyesi flan kwa mbaaliNywele za kwapa ni hazina.
Kwenye mambo yetu yale ya behind 4 walls zinatoaga kaharufu fulani hivi watoto wa mujini wanakaitaga AMEIZING...
raha ya utumbo unukie kinyesi flan kwa mbaaliNywele za kwapa ni hazina.
Kwenye mambo yetu yale ya behind 4 walls zinatoaga kaharufu fulani hivi watoto wa mujini wanakaitaga AMEIZING...
Very nice question... Kuna msitu wa juu !! na kuna msitu chini !! Mara wengi hawajafunzwa na maa !!Kwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
Mwanaume unanyoa makwapa unamnyolea nani?au umefikili n fashen kunyoa sio fashen au sheria ila ni kwa wale ambao USAF unawashinda kama USAF unakushinda nyoa maana znaweza zkawa chaf had rangi yake ikabadlka !!Kwa wanaume ni kawaida kwapa liwe na nywere CIO jeupe kama la dem!! Ila mwanamke ni lazma anyoe cio minywere kaa dumeKwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
unanyoa dakika ngp?Mda hautoshi, kama hauwahi kazini, basi unawahi kwenda kukaa bar na marafiki.
uchafu huoMe ni mmoja waoo
unamnyoa nan nywele za kwapaMi wangu tunanyoana kila wk na huwa ni uvivu umewajaa sasa mkiekeana ratiba ya kunyoana walaaaa atakuwa nsafiii. Mi sizipendiii kama nimekuzoeya nakupa ofa ya kinyoleo
wengiIdadi ya wanaume unaowaona hawanyoi imefikia wangapi Mkuu?
Kwasababu huw hazitoi harufu mbaya sana kam za wanawake ila huw znabadilika rangi tu, sasa ww mwanamke iga usinyoe uone mtaa mzm watahama kw huo uvundo.Kwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
kla binadamu ananuka no matter male o femaleKwasababu huw hazitoi harufu mbaya sana kam za wanawake ila huw znabadilika rangi tu, sasa ww mwanamke iga usinyoe uone mtaa mzm watahama kw huo uvundo.
Sizan kama uchafu coz..!! Sijawai nuka kwapauchafu huo
unanuka waulize unaokaa nao watakwambiaSizan kama uchafu coz..!! Sijawai nuka kwapa
Ko ntanyoajee sas?unanuka waulize unaokaa nao watakwambia
Product ya Mulugo wasamehe bure
unanuka waulize unaokaa nao watakwambia
nenda barber shopKo ntanyoajee sas?
angalia waskungateTunataka kufuga chatu
we hunyoi ndo maana umekacrikasi umuulize huyo bwana wako kwanini hanyoi wala usikashifu wengine wakati hauna reasearch
njoo uniangalie basiiiwe hunyoi ndo maana umekacrika