Kwanini baadhi ya wanafunzi wahitimu kidato cha 6 hawajapangiwa kambi za kujiunga Jeshini?

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Kuna vijana wawili wa jirani yangu wamemaliza kidato cha 6 mwezi wa Tano....mmoja wao amepangiwa Mafinga na wanatakiwa waripoti tarehe 9 june. Tumepata kuona jina lake katika orodha iliyopatikana kwenye PDF kutoka Tovuti rasmi ya Jeshi yaani [www.jkt.go.tz]...

Ila jina a huyo mwengine halikuonekana, na hata anasema hajaona jina hata la mwanafunzi mwenzake yeyote kutoka shuleni kwao...

Tulikuwa tunajipa moyo huenda waka upload list ya wanafunzi wengine wa kujiunga na Jeshi, ila naona kimya mpaka sasa ukizingatia june 9 ndio wanawasili makambini kwa wale waliochaguliwa tayari...

Ningependa kuwauliza wajuzi na waelevu wa masuala ya huko Jeshini. Nini Mustakabadhi wa hawa wanafunzi ambao hawajachaguliwa?
 
Kuna vijana wawili wa jirani yangu wamemaliza kidato cha 6 mwezi wa Tano....mmoja wao amepangiwa Mafinga na wanatakiwa waripoti tarehe 9 june. Tumepata kuona jina lake katika orodha iliyopatikana kwenye PDF kutoka Tovuti rasmi ya Jeshi yaani [www.jkt.go.tz]...

Ila jina a huyo mwengine halikuonekana, na hata anasema hajaona jina hata la mwanafunzi mwenzake yeyote kutoka shuleni kwao...

Tulikuwa tunajipa moyo huenda waka upload list ya wanafunzi wengine wa kujiunga na Jeshi, ila naona kimya mpaka sasa ukizingatia june 9 ndio wanawasili makambini kwa wale waliochaguliwa tayari...

Ningependa kuwauliza wajuzi na waelevu wa masuala ya huko Jeshini. Nini Mustakabadhi wa hawa wanafunzi ambao hawajachaguliwa?
Jina lake huanziwa na herufi gani? Pia majina yanatoka kiawamu hayo
 
Majina huwa yanatoka kwa awamu kwa sababu wapo wengi sana.Sema mara nyingi huishia kutoa awamu moja tu.Ya pili na kuendelea vyuo huwa vimekwishaanza kufunguliwa na mara nyingi wanakwenda awamu moja tu,,,so kama amechaguliwa basi aende kwa sababu kila mtu na sala zake.
 
Majina huwa yanatoka kwa awamu kwa sababu wapo wengi sana.Sema mara nyingi huishia kutoa awamu moja tu.Ya pili na kuendelea vyuo huwa vimekwishaanza kufunguliwa na mara nyingi wanakwenda awamu moja tu,,,so kama amechaguliwa basi aende kwa sababu kila mtu na sala zake.
 
Siyo kwamba wanaenda wote, wanaenda sample tu , representatives maana serikali haina kambi za kuwa accommodate wahitimu wote, iko hivyo kila mwaka
 
Kuna shule kati ya wanafunzi 88 wamechaguliwa wawili tu, mwaka jana walikuwa 3. Hakuna cha awamu hapa na sijajua vigezo wavitumiavyo
 
Majina ya awamu ya kwanza mara nyingi huwa A mpaka M labda mfumo uwe umebadilika

Hakuna cha A wala Z mwaka huu.
Wamechanganya kiaina.
Ila nahisi kama wamechukua wale ambao nafasi ya kupata vyuo ni kubwa.
Sina ushahidi wa hili ila ni hisia.
 
Hakuna cha A wala Z mwaka huu.
Wamechanganya kiaina.
Ila nahisi kama wamechukua wale ambao nafasi ya kupata vyuo ni kubwa.
Sina ushahidi wa hili ila ni hisia.
Usipende kutumia hisia zako kama ushahidi, lile tawi la JWTZ ni kitu kingine kabisa. Uwe na ushahidi na unachokisema.

Miaka yote majina yanatoka mara mbili, ila wa kwanza tu kutolewa majina ndiyo wanaenda. Hivyo hii ni mara ya kwanza ya utoaji majina
 
Usipende kutumia hisia zako kama ushahidi, lile tawi la JWTZ ni kitu kingine kabisa. Uwe na ushahidi na unachokisema.

Miaka yote majina yanatoka mara mbili, ila wa kwanza tu kutolewa majina ndiyo wanaenda. Hivyo hii ni mara ya kwanza ya utoaji majina

Hisia ni kwamba wanachukua wale wenye uwezekano mkubwa zaidi wa kuendelea na vyuo.
Nafahamu vijana kadha walioenda! Nafaham pia wachache wasioenda! Wale waliopangiwa wana uwezo kuliko wale wasiopangiwa (kati ya ninaowafahamu)! Hata hivyo hivyo sampuli yangu ni ndogo mno kuweza kufikia hitimisho! Hapo ndio kisa cha kuweka hisia (au dhana isiyo na mashiko ama ushahidi)! Na nimesema ili kuwa wazi kwamba sina taarifa au ushahidi rasmi.

Na kwa taarifa yako, dhana ni mwanzo wa utafiti! Hisia au dhana yangu ni kwa aina ya wanafunzi walienda kwa awamu ya sasa.

Btw: ni wapi nimetumia hisia kama ushahidi?
 
Hisia ni kwamba wanachukua wale wenye uwezekano mkubwa zaidi wa kuendelea na vyuo.
Nafahamu vijana kadha walioenda! Nafaham pia wachache wasioenda! Wale waliopangiwa wana uwezo kuliko wale wasiopangiwa (kati ya ninaowafahamu)! Hata hivyo hivyo sampuli yangu ni ndogo mno kuweza kufikia hitimisho! Hapo ndio kisa cha kuweka hisia (au dhana isiyo na mashiko ama ushahidi)! Na nimesema ili kuwa wazi kwamba sina taarifa au ushahidi rasmi.

Na kwa taarifa yako, dhana ni mwanzo wa utafiti! Hisia au dhana yangu ni kwa aina ya wanafunzi walienda kwa awamu ya sasa.

Btw: ni wapi nimetumia hisia kama ushahidi?
Mitihani hata kusasahishwa sidhani kama wamemaliza, sasa utajuaje wanaoenda chuo bila ya kujua matokeo yao.

Hebu acha siasa kwenye ishu za jeshi, wale wanakabidhiwa majina tu na wanaokwenda matokeo yao yanawakuta wapo kambini mafunzoni
 
Mitihani hata kusasahishwa sidhani kama wamemaliza, sasa utajuaje wanaoenda chuo bila ya kujua matokeo yao.

Hebu acha siasa kwenye ishu za jeshi, wale wanakabidhiwa majina tu na wanaokwenda matokeo yao yanawakuta wapo kambini mafunzoni

Ungesoma nilichoandika usingejibu ulichojibu! Usipokua na matokeo ya mtihani wa mwisho huwezi kukadiria watakaofaulu?
Soma nilichoandika na fikiri zaidi.
 
Ungesoma nilichoandika usingejibu ulichojibu! Usipokua na matokeo ya mtihani wa mwisho huwezi kukadiria watakaofaulu?
Soma nilichoandika na fikiri zaidi.
Mitihani haijamalizwa kusasahishwa ndiyo kwanza wamemaliza mwezi mei hao madogo.
Wao wameyapatia mbinguni hayo matokeo?
 
Back
Top Bottom