johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Nilishangaa kuona baadhi ya vijiji mkoani Kigoma na hasa kule wanakotoka mawaziri Prof Ndalichako na Dr Mpango wananchi wanakunywa maji ya tope.
Sasa leo nusura nizimie baada ya kuwaona runingani wabunge wawili Asenga wa Kilombero na Babu Tale wa Morogoro kusini wakielezea shida ya maji majimboni mwao.
Yaani hapa Morogoro napo watu wanafulia tope?
Maendeleo hayana vyama!
Sasa leo nusura nizimie baada ya kuwaona runingani wabunge wawili Asenga wa Kilombero na Babu Tale wa Morogoro kusini wakielezea shida ya maji majimboni mwao.
Yaani hapa Morogoro napo watu wanafulia tope?
Maendeleo hayana vyama!