Brasso
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 350
- 689
Shukrani. Mwenyezi Mungu akubariki kadri ya uweza wake mkuu.Usukuma una mbeba naona mchepuko wake unambeba jioni atakutembelea usijali andaa mipira ( cndm) za kutosha akutoe rinda
Shukrani. Mwenyezi Mungu akubariki kadri ya uweza wake mkuu.Usukuma una mbeba naona mchepuko wake unambeba jioni atakutembelea usijali andaa mipira ( cndm) za kutosha akutoe rinda
Wewe umeshaolewa au umepewa tu ujamwepesi kibabe ?Kinachowasumbua no wivu wa kike,mtaolewa tu na bado
Kwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Kuchukiwa na kikundi flani cha watu flani wasiopenda maendeleo yako ni kawaida ,hata yesu alichukiwa sana wakati anahubiri neno jema ,na haizuwii mafanikio
Endelea kuamini unachokiamini ila usinilazimishe na mimi kuamini unachokiamini wewe.Si kweli kuwa riziki ya mtu hutoka kwa MUNGU MWENYEZI.
MUNGU ni muumbaji na mwanademokrasia. Alipoumba binadamu,aliumba kwa mfano wake,maana yake nasi binadamu tu waumbaji. Mungu hana upendeleo wa kusema huyu ampe riziki na yule amnyime. Hakuna hilo.
Upo sawa LAKINI amefeli KWENYE ukusanyaji Takataka kila kona uchafu umejaa kasoro seheme za makazi ya viongoziKwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Mission PlannedHutaamini macho yako,mission planned
Nipe kimoja alichoweza fanikisha huyu boss wako, kwann wasiwe na chuki na Jafo au Mtaka au Mavunde,jiulizeKwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
October piga chini ccm ila kwa heshima ya wanakigamboni kuleta nuru mpya nchini upinzani msisimamishe mgombea kigamboni mpeni Ndungulile zawadi ya ubunge.Mission Planned
Asanteni Kigamboni kwa kutuwakilisha vema
Kwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Hawawezi mrudisha kule Jimbo litaenda upinzani.Ccm wakirudia makosa waliyofanya 2015 ya kuwachagulia wapiga kura wagombea waliowataka majimbo hayo yataenda upinzani lipo wazi Hilo.Watu wa Kigamboni tumewapa banga....kazi yenu ni kukata kichwaaaa!
Uzuri hua hawatuangushi....
Kwanza anzieni kura za maoni,katwa kichwa!
Kwavile ni toto la mawe,litapitishwa makusudi,likaja kwa box la kura,Wakigamboni kateni kichwaaaa mazima!
Hebu tufafanulie mapungufu yake unayoyaona ...Anasifa zote za uongozi ,ispokuwa kama mwanadamu hajakamilika ,nakubaliana na wewe
Hawawezi mrudisha kule Jimbo litaenda upinzani.Ccm wakirudia makosa waliyofanya 2015 ya kuwachagulia wapiga kura wagombea waliowataka majimbo hayo yataenda upinzani lipo wazi Hilo.