WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,348
- 3,095
Dah! Makonda ndio Bashite? Kama ndio huyo wacha wamuonyeshe kweli labda atajifunza na kurekebisha mapungufu yake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia wewe kunawatu wankuchukia ila kwa kuwa wewe sio public figure wanaishia kusematu wakiwa 2 ama 3 bilakuja mitandaoni.Mtu anayechukiwa na watu siku zote yeye ndo ana chuki,tangu awe mkuu wa mkoa kwa dharau zake na matusi,kukomoa watu na ubabe nani ampende?marekani wenyewe amepigwa ban maana wanajua hafai sembuse sisi tunayemwona
Kutakuwa kazi nzito kumrekebisha. Kule kwenye kuvua dagaa ndio ilikuwa size yakeDah! Makonda ndio Bashite? Kama ndio huyo wacha wamuonyeshe kweli labda atajifunza na kurekebisha mapungufu yake...
Hii kiki iligoma,pamoja na kupigiwa chapuo kwa nguvu nyingi labda mjaribu nyingine tenaKutakuwa kazi nzito kumrekebisha. Kule kwenye kuvua dagaa ndio ilikuwa size yakeView attachment 1508394
Sikubaliani na wewe ,ila ninakubali yaishe ,ila dogo hakuna alichokosea ,kila kitu kimepangwa kikapangikaUkimsikiliza RC wa Mbeya na aliyosema CDF Mabeyo utaona dhahiri wametumwa kumpa salamu Makonda kuwa amefanya ndivyo sivyo kwani angeacha kazi kwanza lakini kakiuka.
Magufuli hata kama anampenda kiasi gani Makonda, shimo kachimba mwenyewe na kujifukia kajifukia mwenyewe. Mnaidhani atang'ara mjiulize Mara mbili.
Sasa kazi wanayo wana ccm Kigamboni. Kura za maoni zikimwaga tuu, jina halitabebwa hivyo halirudi
Kwa hiyo umeleta Uzi ili tujadili kuhusu "wachache"? Una kichaa si bure.Ni kikundi cha Wachache sana mitandaoni,na kiukweli mmechemka ,kama fitina mmepiga sana na hazijazaa matunda
Hata kama ni upuuzMakonda mtu makini sana na atafika mbali kwa sababu hayumbishwi na watu na anajua kusimamia cheo chake japo kila mtu anamapungufu yake ila yeye ni maana halisi ya kiongozi.
Kwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ni Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Si kweli kuwa riziki ya mtu hutoka kwa MUNGU MWENYEZI.Riziki ya mtu inatoka kwa Mwenyezi Mungu,na kitokacho kwa Mungu hakuna wakukizuwia,
When one door closes another one opens.
Sawa muzee! Lakini kama mambo yanapangwa kwa mpangilio huu basi ni aibu kwa mabosi wake sio yeyeSikubaliani na wewe ,ila ninakubali yaishe ,ila dogo hakuna alichokosea ,kila kitu kimepangwa kikapangika
Vyovyote itakavyokuwa ,ila Makonda sio looser kwenye huu mchakatoSawa muzee! Lakini kama mambo yanapangwa kwa mpangilio huu basi ni aibu kwa mabosi wake sio yeye
View attachment 1508474
Yupo anapakatwa na mkuu kwanini asing'ae ila kwa juhudi zake binafsi hana kitu. Kwanza je, alishamaliza masomo yake kule MUCCOBs?Kwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Hata Samwel Doe na wapambe wake walijiona wako salama sana, lakini siku hao wanaowadharau wakibadilika huwa hakuna cha kuwazuia maana neno ustaarabu hawalijui kabisa.
Mbegu ya chuki na husuda imepandwa na chama chako cha mapuuza.Kwanza nikisoma comments nyingi za vijana jukwaani wengi wamejawa chuki na husuda dhidi ya kijana Makonda .
Na yote hayo yanatokana na wivu wa mafanikio yake.lazima mfahamu kwamba kama kuna RC aliepafomu kwa ubora jijini dar kwa miongo kadhaa ya tawala zilizopita ni tawala ya kijana Makonda ,hili lipo wazi, ispokuwa kwa wale walioapa kumpinga mpaka yesu Messiah atakaporudi
Niwahakikishie ya kwamba mpaka sasa Makonda hajapoteza chochote katika u RC Dar ,sana anelekea kaanan kwa uwezo wa mungu na huko mbeleni mtasononeka sana ,kwani kila mkizomea yeye hupanda ngazi zaidi
Kuhusu mpango wa yeye kugombea ubunge Kigamboni ni ndoto yake na hajakurupuka ,anamaandalizi ya muda mrefu,tulieni,ndio maana wabobezi wa mambo wapo kimya na wanajua nini kitafuata baadae,wale na mimi wa kukurupuka tuendelee kukurupuka
Kuna Alexander Mnyeti pia huyu mnafikiri pia kaacha u RC kwa tamaa," kalaghabaho"
Kithibitisho ni leo mkuu wakati anaongea baada ya kuapisha ,kaongea very technically, akijibu baadhi ya upuuzi wa mitandaoni .
Ukweli ni kwamba rohoni kwa mtu ni mbali sana ,tutakao waamini wanasiasa tuwaamini tu ,ila upande wangu lazima niwe na kiasi cha kuwaamini ,za kuambiwa changanya na zako.
Mwisho kabisa kama mungu atatupa uhai siku za usoni Makonda atang'aa sana ,hii mishale mnayorushia nyuma ya keyboards itakuja warudia wenyewe,labda kifo kitenganishe ndoto zetu na zake pia.
Cheki hata maneno yako ni jinsi gani yanavyoonesha huna hekima wala busara.Nyie wake wenzie ndio mnajua, ila sisi tunamjua ni takataka tu ambaye yuko tayari kufanya lolote mradi cheo
Hakuna Busara kwa Washenzi kama nyie kina BashiteCheki hata maneno yako ni jinsi gani yanavyoonesha huna hekima wala busara.