Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,620
- 34,053
Hello,
Imekuwa ni kawaida kuona baadhi ya dini zinatumia nguvu kubwa sana kushawishi watu kujiunga nao.
Tena kuna baadhi ya dini zinatumia mpaka vitisho na mapigano kuhakikisha wanapata waumini wapya.
Sasa inakuwaje baadhi ya dini kama hawa Ismalia hatuoni harakati zozote za kutafuta waumini wapya ?
Imekuwa ni kawaida kuona baadhi ya dini zinatumia nguvu kubwa sana kushawishi watu kujiunga nao.
Tena kuna baadhi ya dini zinatumia mpaka vitisho na mapigano kuhakikisha wanapata waumini wapya.
Sasa inakuwaje baadhi ya dini kama hawa Ismalia hatuoni harakati zozote za kutafuta waumini wapya ?