Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,620
- 34,053
- Thread starter
- #21
Nebuchadinezzer Hiyo mbona wanarecruit kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa na kusema mbona wachaga hawahamasishi watu kuwaHello,
Imekuwa ni kawaida kuona baadhi ya dini zinatumia nguvu kubwa sana kushawishi watu kujiunga nao.
Tena kuna baadhi ya dini zinatumia mpaka vitisho na mapigano kuhakikisha wanapata waumini wapya.
Sasa inakuwaje baadhi ya dini kama hawa Ismalia hatuoni harakati zozote za kutafuta waumini wapya ?
Uko sawa hakuna dini inaitwa Ismailia ila kuna dhehebu la kiislam linaitwa Ismailia kama ilivyo hakuna dini inaitwa ukatoliki au ulutheri bali ni madhehebu ya dini ya kikristo watu wanachanganya sana mafaili kuhusu mambo haya.